Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emu tulia tukubadilishe na ngβombe πππO
Ni huyo mdogo wako
Anataka kunipeperushia njiwa wanguπ
Ongea nae maana anapoelekea tutaonana wabaya bureππ
Babe wangu amesema anatoa ngamiaEmu tulia tukubadilishe na ngβombe πππ
pilipili iko shamba we inakuwashia niniπππ
Wewe na kiherehere ni pete na kidole
πππpilipili iko shamba we inakuwashia nini
Anadeka deka kidogoAnakupanga huyo!
πππ unajipeperushia ndege mwenyewe na mdomo wakoπππ
Sina cha kukujibu ngoja nikuache
Maana siku sio nyingi naorewa
[emoji1] [emoji1]Anadeka deka kidogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya hayaaa!! Ngoja nikakate tiketi Kimbinyiko nije tuanze kusaka sare[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mhasibu nipo hapa. Watume kwenye namba yangu ya Zantel.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuandae na Group Watsap la michango...
Harusi tunayo..
Sawa mkuu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849], maskini Uzi umeingia mchanga
duh mi ni mpoleπππMimi ni Mwanaume miaka 28 mkazi wa Dar es Salaam natafuta mchumba
Mimi ni mtumishi wa serikali, mwanamke awe mkazi wa Dar umri 25 kushuka chini asiwe na mtoto elimu yake kidato cha nne na kuendelea awe mkristo
Awe mweusi,mweupe vyovyote ...
Awe mchangamfu [emoji1]
Karibu PM kama uko interested