natafuta mchumba-serious pls no jokes!!

natafuta mchumba-serious pls no jokes!!

noella

Senior Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
101
Reaction score
50
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 31,nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka miwili.elimu yangu ni shahada ya pili ninaishi dar. Ninatafuta mchumba hatimaye awe wangu wa milele,nimpende anipende awe tayari kumkubali mwanangu kama wa kwake.

Awe na sifa zifuatazo;

Mrefu mwenye mvuto,
Awe mkristo anayependa kusali na mwenye kumuogopa Mungu,
Awe mwenye mapenzi ya dhati na sio macho juu juu,
Awe mwenye kukosoa panapohitaji kukosoa na sio kukaa na gubu na kutafuta suluhu nje,
Awe mwenye elimu angalau degree moja kama si mbili,
Awe mpenda maendeleo na mwenye kuona mbali hata kama hana kitu,
Awe muwazi na si muongo,
Awe muelewa na mwenye kujali.

Kama uko serious ni-pm tuone kama tuta-cope na Mungu aweke mkono wake.

Nawashukuru na kuwatakia weekend njema.
 
Mmeanza mautani ee??ningehitaji kabila kwenye hizo sifa ningesema sioni sababu ya kusema kabila langu pia.
 
Mume mwema hatafutwi kwenye keyboard.

Mtaani kwenu umekosa! Shuleni umekosa! Kazini pia umekosa basi kuna uwezekano mkubwa we ni mbaya sana.
 
Mume mwema hatafutwi kwenye keyboard.

Mtaani kwenu umekosa! Shuleni umekosa! Kazini pia umekosa basi kuna uwezekano mkubwa we ni mbaya sana.
Ndio maana hajaolewa mpaka amezeeka, anasumbuliwa na infiriolity complex, sasa kwenye mapenzi degree inahusikaje? kama mtu ni mwanaume bora na ana Diploma yaani kwake si sahihi! asichokijuwa tu ni kwamba Bill Gates hana degree.
 
Ndio maana hajaolewa mpaka amezeeka, anasumbuliwa na infiriolity complex, sasa kwenye mapenzi degree inahusikaje? kama mtu ni mwanaume bora na ana Diploma yaani kwake si sahihi! asichokijuwa tu ni kwamba Bill Gates hana degree.
Asee umepotelea wapi?


Mda mrefu sana ndugu yangu.
 
Asee umepotelea wapi?


Mda mrefu sana ndugu yangu.
Nilikuwa UK kwa miezi mitatu, sikuwa na muda kabisa wa kukaa na laptop ilikuwa ni mchakamchaka, na hata Blackberry ninayotumia nina access tu ya kuingia lakini kucoment siwezi hata nikilog in lakini JF inakataa comment zangu, bado sijajuwa tatizo la hii simu ni nini.
Anyway am in Dar for almost two weeks now, sweet home. Pamo1 sana.
 
Nilikuwa UK kwa miezi mitatu, sikuwa na muda kabisa wa kukaa na laptop ilikuwa ni mchakamchaka, na hata Blackberry ninayotumia nina access tu ya kuingia lakini kucoment siwezi hata nikilog in lakini JF inakataa comment zangu, bado sijajuwa tatizo la hii simu ni nini.
Anyway am in Dar for almost two weeks now, sweet home. Pamo1 sana.
Ok, nafurahi kukuona tena... Karibu tena jf..
 
je mwanamume mwenye mtoto/watoto anakubalika?
vipi kuhusu mtaliki? je umri gani wa mwanaume unaoutaka?
 
Am in the house,...........
Namie nakuona umejaa tele... Sasa ntaanza kuchungulia kwenye siasa, manake nilikimbia kwa mda...


Unihifadhie zawadi za ng'ambo takuja kuzichukua..
 
Vipi huyo "mchumba-serious plis no jokes ni nani? Ss huku kwe2 hatumfahamu labda jarb kwenye facebook au twitter wenda wanampata na unaweza pata taarifa zake kwa undan zaidi! Duh....umechemka vibaya,pole sana!
 
Wewe ni role model na wadada wa Jf naomba waige mfano wako. Umekuwa wazi kwa kila jambo. Usikate tamaa kwa maneno ya kejeri na ya kukubeza. Uamuzi wako ni mzuri na mungu atakuongoza kujua pumba na mchele. Kila la heri.
 
Back
Top Bottom