Natafuta mchumba (Serious)

Natafuta mchumba (Serious)

Status
Not open for further replies.
Sitapanga kukudanganya, ntasema tu ukweli mamaa.[emoji22]

Kwa hio picha ulioweka kwenye display kama ni wewe, ukinipetipeti kidogo tu utanikamata mtima pabaya aisee, kuna mengi yananikwaza sana, yani chenga, moja wapo mi ni dhaifu sana kwa warembo wazuri kama wewe.

Inawezekana labda umri wangu mdogo ndo sababu, au pengine ndo mapungufu yangu. Ila mi mkweli[emoji22]
Hahaha
 
Sitapanga kukudanganya, ntasema tu ukweli mamaa.[emoji22]

Kwa hio picha ulioweka kwenye display kama ni wewe, ukinipetipeti kidogo tu utanikamata mtima pabaya aisee, kuna mengi yananikwaza sana, yani chenga, moja wapo mi ni dhaifu sana kwa warembo wazuri kama wewe.

Inawezekana labda umri wangu mdogo ndo sababu, au pengine ndo mapungufu yangu. Ila mi mkweli[emoji22]
Haha.... Umri mdogo sio shida ....nitakupa mpeto wa kila aina
 
Badilisha kichwa cha habari uongeze neno "mchumba wa kike".

Maana hilo neno limetufelisha, si wengine tumekuja mbio mbio kuwahi siti tukijua ni mdada ndo anaetafuta mchumba.

NB Tupia na kapicha kako, ili kama kuna mdada katokea ku mind flag, ajue anawasiliana na nani mapema mkuu
jf siyo fb boss
 
Guys, I'm in need, Mimi ni mwanaume and nahitaji mchumba wa kike ambaye kama Mungu akijalia tuje tuoane. Nipo Dar, Am 25 and nipo humble and cool. Sioni umuhimu wa kuweka elimu yangu sababu sina matumizi nayo kwa sasa.

Ninayemuhitaji asizidi miaka 25. Na pia ni vizuri akawa ni mtu anayejitambua.

Kama upo interested naomba unitafute kwa 0710189191. unaweza kupiga au kutuma msg. Karibuni.
Nilivyoona tu "niko Dar" nikaelewa kumbe ndio sababu. Haishangazi kwa mwanaume wa Dar kukosa ujasiri wa kumuapproach dem na kumpa lake la moyoni. Mnajificha nyuma ya keyboard kueleza hitaji lenu. Tatizo lenu kumbe sio msuli tu kumbe hata mashairi ni shida na linazidi kadri siku zinavyokwenda...... Pathetic indeed.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom