Kutoka wapi?Nasubiria majibu ya afya ya mwili na ya afya ya akili....yakiwa mazuri najongea seriously![emoji6][emoji854]
Kutoka kwa DakitariKutoka wap?
Kiume dah nimesahau kwakweli.Wewe Ni wakike au hujaweka jinsia yako ujue
Unawafukuza tena, utakua hupati mbebe...Nafikiri utakuwa umekurupuka kukomenti
Soma vizuri title yangu dada.
Swali alilouliza c uliona kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unawafukuza tena, utakua hupati mbebe...
Mbona kama tangazo la kazi?Vigezo;
Awe Mkristo awe dhehebu lolote.
Awe ana miaka isiyozidi 25
Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4
Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani.
*******
Mimi ni msabato na ni nina miaka 28
Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri
"Mungu awabariki nyote"
No_0626408314.
Pia hata kama ni mwislamu ila unasifa hizo na hata kama utakuwa una shombe ya kiarabu ila utakuwa upo tayari kubadilisha dini kunifuata nipo radhi kwahali yoyote.
"Amina"
Zab 23:1
πππNasubiria majibu ya afya ya mwili na ya afya ya akili....yakiwa mazuri najongea seriously![emoji6][emoji854]