Natafuta mchumba seriously

Natafuta mchumba seriously

Eng Gift

Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
5
Reaction score
7
Vigezo;

Awe Mkristo awe dhehebu lolote.
Awe ana miaka isiyozidi 25

Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4

Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani.

*******
Mimi ni msabato na ni nina miaka 28

Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri

"Mungu awabariki nyote"

No_0626408314.

Pia hata kama ni mwislamu ila unasifa hizo na hata kama utakuwa una shombe ya kiarabu ila utakuwa upo tayari kubadilisha dini kunifuata nipo radhi kwahali yoyote.

"Amina"
Zab 23:1
 
Vigezo;

Awe Mkristo awe dhehebu lolote.
Awe ana miaka isiyozidi 25

Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4

Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani.

*******
Mimi ni msabato na ni nina miaka 28

Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri

"Mungu awabariki nyote"

No_0626408314.

Pia hata kama ni mwislamu ila unasifa hizo na hata kama utakuwa una shombe ya kiarabu ila utakuwa upo tayari kubadilisha dini kunifuata nipo radhi kwahali yoyote.

"Amina"
Zab 23:1
Mbona kama tangazo la kazi?

Form four ya nini tena nyie watu, si tulikubaliana kuwa na elimu haimaanishi mafanikio ya ndoa??
 
Ewe dada, mbona wewe jamaa sijakuelewa jinsia yako!!?
 
engineer unakwama wapi ? chek department ya utilities mbona kuna K za kutosha uko ?
 
Back
Top Bottom