Natafuta mchumba tafathali soma hii post

Hebu nitumie picha yako kwa PM nione kama you are worth to meet with.
Sitanii nasubiri
OTIS
 
lazima utakuwa na 'social errors' inakuwaje una ma-complements yote hayo afu bado hujaolewa?
 
U cant be seriouz..! ! ! Ujana wako ulikula na nani? ? ?
 
Elimu na kila sifa mwonekano wote si kitu ila kama upo serious please nakuomba zama kwa Mungu kimaombi yeye atakupa mume aliye bora. Uweze kupata maisha bora ya ndoa yasiyo na misukosuko!!! Maana kwa maelezo yako kwa sasahivi uko well of hivyo u are a good attraction for magumashi matapeli ambao niwengi wajanja!!!!!! Tafadhari ni PM nikupe advise zaidi!!!! Please employ God to assist in this wonderful venture marriage!!!!!! Ubaraikiwe!!!!!!

 

wenzie tunavipenda vitambi hatari!!!! mtakieni heri mwanamama huyoooo.
 
Mimi hapa. Check pm tafadhali. Nina uhakika tunaendana hata mimi ninatafuta.
 
Nami Sifa zangu ni;
Miaka 30,
Degree 1 (ya pili ndio naisoma now),
Mrefu 180cm,
Uzito 85Kg,
Sio mnene wala mwembamba but kitambi kipo,
Gari 2 za kutembelea,
Gari 4 za Biashara,
Gari 1 inakuja melini,
Viwanja vi3 (kimoja najenga sasa),
Nina mtoto m1 nliempata nikiwa Form 5,
Muislamu.
Zinakufaa hizi sifa??
 
mmmh ina maana hata wewe ni tapel sasa nitawapata wapi wa ukweli?

Hapana tapeli dada, bali kama unaweka hizo miradi yako wazi wazi hivyo utaibiwa na pretenders.
 
Duh!Sasa hapo mwanaume unaoa au unaolewa?Hv kwa sifa zako hizo nitaweza kukukoromea kweli ukichelewa kurudi home?Hapana nina sifa zote uzitakazo lakini nadhani hatutawezana!(Nawasilisha)
 

Mtafutaji hapo kwenye bold vipi?
 
ok mimi nina mke ila dini yangu huniruhusu kuongeza je uko tayari email me mwetemasoud@hotmail.com
 

utawapata wengi mbona!wanawaume wa bongo tunavyopenda mteremko,tulia mama mradi umejitangaza vizur utatupata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…