Natafuta mchumba tafathali soma hii post

Natafuta mchumba tafathali soma hii post

Hebu nitumie picha yako kwa PM nione kama you are worth to meet with.
Sitanii nasubiri
OTIS
 
lazima utakuwa na 'social errors' inakuwaje una ma-complements yote hayo afu bado hujaolewa?
 
U cant be seriouz..! ! ! Ujana wako ulikula na nani? ? ?
 
Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.

Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.
Elimu na kila sifa mwonekano wote si kitu ila kama upo serious please nakuomba zama kwa Mungu kimaombi yeye atakupa mume aliye bora. Uweze kupata maisha bora ya ndoa yasiyo na misukosuko!!! Maana kwa maelezo yako kwa sasahivi uko well of hivyo u are a good attraction for magumashi matapeli ambao niwengi wajanja!!!!!! Tafadhari ni PM nikupe advise zaidi!!!! Please employ God to assist in this wonderful venture marriage!!!!!! Ubaraikiwe!!!!!!

 
Kwa hiyo unataka tukutafute kwa kuwa una investment???? Halafu mbona umetutenga wenye vitambi halafu unasema huna ubaguzi, Ulisoma lini na ukapata hizo investment zote lini kwa umri wa miaka 27? I was otherwise interested, bahati mbaya kitambi nnacho.

wenzie tunavipenda vitambi hatari!!!! mtakieni heri mwanamama huyoooo.
 
Mimi hapa. Check pm tafadhali. Nina uhakika tunaendana hata mimi ninatafuta.
 
Nami Sifa zangu ni;
Miaka 30,
Degree 1 (ya pili ndio naisoma now),
Mrefu 180cm,
Uzito 85Kg,
Sio mnene wala mwembamba but kitambi kipo,
Gari 2 za kutembelea,
Gari 4 za Biashara,
Gari 1 inakuja melini,
Viwanja vi3 (kimoja najenga sasa),
Nina mtoto m1 nliempata nikiwa Form 5,
Muislamu.
Zinakufaa hizi sifa??
 
Duh!Sasa hapo mwanaume unaoa au unaolewa?Hv kwa sifa zako hizo nitaweza kukukoromea kweli ukichelewa kurudi home?Hapana nina sifa zote uzitakazo lakini nadhani hatutawezana!(Nawasilisha)
 
Nami Sifa zangu ni;
Miaka 30,
Degree 1 (ya pili ndio naisoma now),
Mrefu 180cm,
Uzito 85Kg,
Sio mnene wala mwembamba but kitambi kipo,
Gari 2 za kutembelea,
Gari 4 za Biashara,
Gari 1 inakuja melini,
Viwanja vi3 (kimoja najenga sasa),
Nina mtoto m1 nliempata nikiwa Form 5,
Muislamu.
Zinakufaa hizi sifa??

Mtafutaji hapo kwenye bold vipi?
 
ok mimi nina mke ila dini yangu huniruhusu kuongeza je uko tayari email me mwetemasoud@hotmail.com
Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.

Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.
 
Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.

Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.

utawapata wengi mbona!wanawaume wa bongo tunavyopenda mteremko,tulia mama mradi umejitangaza vizur utatupata tu.
 
Back
Top Bottom