[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo we mchaga [emoji2356]
Ukiamka tuma picha tukuoneWewe ni mkabila usiwe hivyo bana basi mimi ni Msukuma wa Mwanza
Hapa tu ndio nawakubali wachaga.. wanapenda kuitana totoo, hata wakiwa wenza.. ni full totoo tuthanks totoo
Uko Arusha mtaa gani?Hapana niko serious kabisa sio utani best angu leo sijalala nashukuru nimepata mmoja ngoja nione
Si wote waliosoma kwa kuunganisha, wengine baada ya form four waliingia mtaani baadaye wakajiendeleza.Uko Arusha mtaa gani?
Umesema una mtoto ulimpata chuoni, ana 8yrs minus yours = 32… chuo gani ulikisoma na 32yrs au ulimpata wakati wa MA?
Mama yake yuko wapi? Zile za amepiga simu anataka kumsalimia mtoto wake zipo au?
Asking for a friend
😂😂😂Mama yake yuko wapi? Zile za amepiga simu anataka kumsalimia mtoto wake zipo au?
Asking for a frien
Sema haki ya nani!!atafa
Njoo mamiii unitulize mtema
Mie sio mkabila ila hilo kabila hapana mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni mkabila usiwe hivyo bana basi mimi ni Msukuma wa Mwanza
Naishi Njiro, Arusha. Sikuunganisha chuo nilienda baadae. Mama mtoto yuko Mwanza na mishe zake. Kumsalimia mtoto sio mbaya ni haki yake ila mambo mengine nitakuwa strict sana kwamba asije akachafua hali ya hewa nikiwa na mahusiano mapya.Uko Arusha mtaa gani?
Umesema una mtoto ulimpata chuoni, ana 8yrs minus yours = 32… chuo gani ulikisoma na 32yrs au ulimpata wakati wa MA?
Mama yake yuko wapi? Zile za amepiga simu anataka kumsalimia mtoto wake zipo au?
Asking for a friend
Basi Bwana na akakutendee sawa sawa na hitaji lako.Mimi sitanii niko serious kweli naamini mungu atanipa laaziz wa moyo wangu inshallah