Natafuta Mchumba Uzeeni naamni nitapata hapa

Nimemiss sana penzi nina miaka mitatu siko kwenye mahusiano kweli dah huwezi amini. Niooneni huruma mabinti jamani humu afu umri ndio huo unakimbia sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa mkuu
 
Njoo tuyajenge mzee mwenzangu...
 
zogo PM tulole ng'wike
 
Ngosha..naona washaamza kujipitisha hapo juu.
 
Mimi sitanii niko serious kweli naamini mungu atanipa laaziz wa moyo wangu inshallah
Njoo kwenye uzi wa pichq za warembo world wide ujichagulie au ule wa kula kimasihara upate mbinu
 
hujani invite mkuu ndo upi huo
 
hujani invite mkuu ndo upi huo
 
hujani invite mkuu ndo upi huo
 
hujani invite mkuu ndo upi huo
 
Hujapata tuu?
Mkuu huko mtaani hali ikoje ina maana umekosa kabisa kabisa hadi umekuja huku kwenye simple random selection? Huoni possibility ya errors ni kubwa kuliko huko nje ambako ungefanya purposive selection??
 
Hujapata tuu?
Mkuu huko mtaani hali ikoje ina maana umekosa kabisa kabisa hadi umekuja huku kwenye simple random selection? Huoni possibility ya errors ni kubwa kuliko huko nje ambako ungefanya purposive selection??
nipe nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…