unaruhusiwa kuassist mkuuHujapata tuu?
Mkuu huko mtaani hali ikoje ina maana umekosa kabisa kabisa hadi umekuja huku kwenye simple random selection? Huoni possibility ya errors ni kubwa kuliko huko nje ambako ungefanya purposive selection??
Nina assist vipi mkuuunaruhusiwa kuassist mkuu
Jaman we kaka uwage serious basiiiconnection yaani kama una ndugu yako au rafiki yako ambae yuko single something like that mkuu