Natafuta Mchumba wa hali kama yangu

Kwanza nakupongeza kwa kujitambua na kuwa muwazi, Mungu akupe moyo wa kijasiri zaidi.
Pili ningependa kufahamu unamaanisha nini unaposema mwanaume aliye na hali kama yako? je, unamaanisha awe HIV+ pia?
Mimi ninakushauri utafute mwanaume yeyote aliye tayari, si lazima awe HIV+. Nasema hivi kwa sababu wengi wenye hali hii ni wazito kufikiria mbele kama wewe. Wengi hawapati ushauri nasaa na tiba ya kisaikolijia kujikubali kama ulivyojikubali wewe. Wengi wameshakata tamaa!
Ondoa hicho kigezo cha HIV+, werevu wataelewa na watakuja.
 
Sina maana hio. Ila kwa hali yàke anahitaji faraja zaidi
Im sure kuna wengi wasio hiv+ wanaohitaji faraja zaidi yake...matter of fact is she seem to be courageous,she's in control of her situation sioni kama anahitaji huruma she has embraced life with its challenges..i love her spirit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni kweli kuna ugonjwa wa Ukimwi
i wish ningekuwa na muda ningeutumia kupitia uzi huu huu kutoa elimu, ukimwi upo kwa sis tunaoudhuriaga clinic kila mwez tuna ona jins watu wanavyokuja wengine wakiwa katika hali mbaya, yan watu ni wengi ni wengi ni wengi chunga sana my dear usipate, kwa jins tulivyo weng wenye HIV sidhani kama kuna hata nafas ya kukanyaga mguu ,sasa hao ndio tunaojitambua afya zetu je wasiojijua? omba Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…