Lulu michael
Member
- Dec 5, 2013
- 31
- 32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaiyo kama yupo positive hata kilaza amchukue tu?Upo positive na bado unamtaka mwenye degree.
Sina maana hio. Ila kwa hali yàke anahitaji faraja zaidikwaiyo kama yupo positive hata kilaza amchukue tu?
Im sure kuna wengi wasio hiv+ wanaohitaji faraja zaidi yake...matter of fact is she seem to be courageous,she's in control of her situation sioni kama anahitaji huruma she has embraced life with its challenges..i love her spiritSina maana hio. Ila kwa hali yàke anahitaji faraja zaidi
Hivi ni kweli kuna ugonjwa wa Ukimwi
Unauliza swali au au unashangaa? unaishi sayari gani?
i wish ningekuwa na muda ningeutumia kupitia uzi huu huu kutoa elimu, ukimwi upo kwa sis tunaoudhuriaga clinic kila mwez tuna ona jins watu wanavyokuja wengine wakiwa katika hali mbaya, yan watu ni wengi ni wengi ni wengi chunga sana my dear usipate, kwa jins tulivyo weng wenye HIV sidhani kama kuna hata nafas ya kukanyaga mguu ,sasa hao ndio tunaojitambua afya zetu je wasiojijua? omba MunguHivi ni kweli kuna ugonjwa wa Ukimwi