BALIMI CASTLE
Member
- Aug 2, 2017
- 33
- 47
Habari zenu wakuu!
Nimejitokeza kwenu kuhitaji binti ili niweze kumuoa kama tutaendana.
Awe muislamu.
Umri 18-28.
Elimu kuanzia kidato cha 4.
Kuhusu mimi.
Umri wangu miaka 27.
Muajiriwa serikalini.
Elimu shahada.
Yeyote aliyetayari na uhitaji kama nilio nao Mimi, anifate PM tuyajenge.
Makazi mbeya.
Nawasilisha!
Nimejitokeza kwenu kuhitaji binti ili niweze kumuoa kama tutaendana.
Awe muislamu.
Umri 18-28.
Elimu kuanzia kidato cha 4.
Kuhusu mimi.
Umri wangu miaka 27.
Muajiriwa serikalini.
Elimu shahada.
Yeyote aliyetayari na uhitaji kama nilio nao Mimi, anifate PM tuyajenge.
Makazi mbeya.
Nawasilisha!