Natafuta mchumba wa kike muislamu, mwarabu au shombeshombe wa kiarabu

Hossam, inaonekana unawaelewa vizuri hao machotara.......ngoja tuone kama ataweza
Jamaa kajilipua kweli aisee! Ila ushauri wa haraka machotara au waarabu pure wote ni wabaridi mno hutaweza nakuambia!
 
nenda tanga utapala leo leo mwanamke..huwa nawapenda sana mabinti wa kitanga kukataa wao mwiko
 
Muone mwenyewe mtarajiwa kwani yupo sokoni.
 
Yap shapigapiga sana ila nikaona miyeyusho saa hii niko na kitu masai na mtoto mkoja , waarabu sijui chotara ni show tu hamna kitu nakwambia hataweza

Mbona unatuponda yakhe walikufanya mbaya ninii
 
Hamna jamaa kataka ushauri au wewe unataka kumshauri nn? Mi nampa uzoefu wangu lau kama hataki si aendelee mbona wapo kibao tu
 
Yap shapigapiga sana ila nikaona miyeyusho saa hii niko na kitu masai na mtoto mkoja , waarabu sijui chotara ni show tu hamna kitu nakwambia hataweza

Hii ni kweli sana. Yani inabidi u concentrate kumwangalia sura sana ili upate hisia za kumaliza. Tena ukimzoea ndio eh, anaweza hata kukufanya ufanye mambo ya laana!
 
Jamani najisikia faraja kwani wanajamii mnanisapoti na Kunipa ushauli mbali mbali,asanteni sana,ila vigezo vya nimtakae ndivyo hivyo sitoweza badili hata iweje,ila mpaka sasa bado hajatokea,na nikimpata tu nitawajuza.
 
Hii ni kweli sana. Yani inabidi u concentrate kumwangalia sura sana ili upate hisia za kumaliza. Tena ukimzoea ndio eh, anaweza hata kukufanya ufanye mambo ya laana!

Na kweli unaweza kuruka ukutaa
 
Nina elimu ya kiwango cha degree (B.A of political ,"siesce" and public administration).


kazi kweli kweli.mweee!
 
Sema unataka mwarabu mweupe. Maana Waarabu wengi duniani ni weusi.

Isitoshe, siku hizi weupe na ushombe unanunuliwa kwenye mikebe. Kazi kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…