Natafuta mchumba wa kike muislamu, mwarabu au shombeshombe wa kiarabu

Ungekuwa si chadema ningekutafutia mke. Sorry, wrong number.
 

kamuoe Halima Mdee naona kadri siku zinavyosonga anazidi kupata stress tu za kugongwa na kuachwa!
 


Kaka nakusifu kwa ushujaa wako Wa kutafuta mke. Mungu akupe nuru yake machoni mwako ili uweze kujua yupi ni Wa Kweli na yupi si Wa Kweli. Akuepushe na mitego ya muovu ,Amen. Haya wadada zangu kwenye vigezo karibuni.
 
OK kutokana na ushauri wa wadau wenye nia njema nami pamoja na utafiti wa kina,naomba kuregeza masharti,pale nilisema Mwarabu au shombe shombe sasa kwa binti yoyote ila awe mwislamu,mwenye maadili mema.
 
we mwenyewe mswahil unataka waarab wa kaz gan, naona bado hujajuwa tabia za waarab pole sana kaka
 
Hahaha kwa yale masharti mkuu ulikiwa hutoboi, afadhali umelegeza
 
Aisee nahis umeshapata mana comment chache ila walio view picha ni wengi nahisi mke yupo kwenye hao viewers
 
vp ulimpata??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…