Luca N Lushanga
New Member
- May 27, 2020
- 3
- 2
HeyNaona umeamua kurahisisha namba za simu au sio..[emoji3][emoji3]
Kila la kheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeyNaona umeamua kurahisisha namba za simu au sio..[emoji3][emoji3]
Kila la kheri.
Acha matani bwana Mimi naamin asilimia kubwa ya mabinti wanatumia mtandao ndo maana nimefanya hiviMchukue huyu yupo lamadi kanda ya ziwa
financial services namba yake ni 07910017772
Hahaaa,unataka siku akija kuniona sina huyo chura anipe kibuti papo hapo eeh😀, bora nimwambie ukweli mapema ,sina chura, sina sauti ya kwaya, cheusi tiiWewe unaanza kutoa siri khaaa. Hayo mambo usiyaseme mama. We mwambie una chura. Na ni mwimba kwaya mzuri.
Heiti ya urefu sio haba...
Hakuna kibuti mwanamke hapgwi siku izHahaaa,unataka siku akija kuniona sina huyo chura anipe kibuti papo hapo eeh[emoji3], bora nimwambie ukweli mapema ,sina chura, sina sauti ya kwaya, cheusi tii