Tangazo lako limekaa vizuri sana sababu umeweka na picha kabisa
Nimeona yupo poa anajiamin sio nyie mnajificha ficha utafikiri magaidi
🤣🤣🤣🤣🤣Teacher kajilipua [emoji23][emoji23] daah! ni maamuzi magumu ila umetisha kwa huo ujasiri ngoja waje wakukule kimasikhara madem wa jf
Bora umeachana na papuch mnato za school wenzako wanakula mvua tu za miaka 30
Hamchelewi kusema amanue muone yaliyomo yamo a.k.a rinda?Mwl hebu simama tuone kimo[emoji1787]