Prince Naahjum_
Senior Member
- Jun 13, 2016
- 139
- 125
Come on Prince! You can't be serious asking that question.Anakupataje sasa
Mi nina miaka 45,naeza fkiriwa?
Kwa andiko lipi??? Mungu ndiye alisema kifo tu ndicho kitakachowatenganisha. Kama ni kifo hapo sawa otherwise hutofanikiwa kwakuwa uko kinyume na Maagizo na mapenzi ya Mungu. Watchout
I will baby , I will.Ukimpata toa rejesho
Hapo Yesu akamgeukia Petro na kumwambia "NENDA ZAKO SHETANI "Pole sana kwa maisha ya sasa hivi sijui kama kuna waoaji tena tusubiri miaka kumi ya brother magu ndio tutayajenga upya kwa sasa tafuta wa kugegedua tu
If you are really and truly saved it is time for you to pray and fast for your Husband na sio kutafuta mwingine. There is no excuse isipokuwa kifo so watch out unasema you are saved huku unatafuta mume mwingine?? That is adultery my sister despite of your reasons or excuses the word of God doesn't change it is still there ni Kifo tu Dada yangu cha kuwatenga. Fikiria sana kabla hujachuma janga lingineAm saved already. Uliyosema ni 100% true. Hivi kweli hujanielewa? ?? Nitakuchek chemba. Nimependa busara yako. Yani hili jukwaa lingekua na watu design yako wengi wangenufaika
RETERN=RETURNTatzo mkiwa bado mabinti huwa mnaringa xana mpka mnajitia mkosi kwani wanaume hunung'unika juu yenu kwa kuwakataa...sasa mkifikaga ktk POINT OF NO RETERN mnakumbwa na masaibu kama haya
Division fiveRETERN=RETURN
Xana= sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Division five
Am saved already. Uliyosema ni 100% true. Hivi kweli hujanielewa? ?? Nitakuchek chemba. Nimependa busara yako. Yani hili jukwaa lingekua na watu design yako wengi wangenufaika
Sitafuti mke mimi Nina mke tayari. Najaribu kufanya liwezekanalo Dada yangu asiharibu zaidiAu umchukue huyu huyu Huntsman maana anajitahidi kutoa ushauri mzuri ili aonekane baba mwema.