Jiwe la gizani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii thd inatakiwa tuwe makini sana!
Najua mmenielewa.
Yule mtoto wako wa kike mnafanana kweli na juzi alivaa kagauni kapink yaan kako very beautifully aisee0678672249
Hiki ndicho kigezo cha msingi kinapaswa kiwekewe PrioritySina vigezo vya umri ila pesa ipo,
Hapo vipi?
acha woga weweee save namba uangalie dp wasapWeka na picha yako tafadhari mkuu.
mwanafunzi wa DIPLOMA mwache akuekue kwanzatutanunua tukiwa wote mamaa. embu njoo tufunge ndoa tunachelewesha bure watoto kuanza shule
Na namba imewekwa? Muwe makiniHii thd inatakiwa tuwe makini sana!
Najua mmenielewa.
hataki MWANA-CCMElimu yako? Unafanya nini ili kusukuma maisha. Maana kaka yangu anafundisha UDSM. Lazima nitakapokuwa nampa info zako ataniuliza hayo maswali mawili.
Kaka yangu yule hana chama kama mimi tu nilivyo sina chama.hataki MWANA-CCM
LABDA KAKA YAKO ILA WEWE MLUMUMBA MWANZO MWISHOKaka yangu yule hana chama kama mimi tu nilivyo sina chama.
Siku nikitaka kuoa naanza na wewe aisee SIASA zitahamia chumbani😀😀😀😀😀Kaka yangu yule hana chama kama mimi tu nilivyo sina chama.
Sina chama,mimi ni mzalendo na misimamo yangu hapa JF ipo kote kote inategemea na jambo lililofanywa na mimi ninalichambua vipi.LABDA KAKA YAKO ILA WEWE MLUMUMBA MWANZO MWISHO
Ebhana emb mwache mwenziyo adadavuliwe, kama ana nia ya kwelu je!Hofu yako nini? Kumegewa?
Friendly wakati kaweka masharti magumu? Wengine tuna 40+ na tunataka, lakini vigezo vya kibaguzi vimetuziba midomo.Vigezo na masharti viko friendly... Nakuombea
Chukua mkuu,ana zile sifa.hiyo avatar hapo ndio wewe?
ha ha ha mkuu mbona unaulizia baba tena?Sawa, baba wa mtoto yuko wapi?
NakujaUkitaka picha njoo pm
Unapotaka kununua shamba lazima uulizie mipaka ya shamba husika. Unaweza kuingiliwa kwenye eneo lako.ha ha ha mkuu mbona unaulizia baba tena?
ha ha ha unajitoa mhanga tu mkuuUnapotaka kununua shamba lazima uulizie mipaka ya shamba husika. Unaweza kuingiliwa kwenye eneo lako.