Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukiamua kujilipua katika hili suala,itabidi mtoto apelekwe bweni (shule) ili kuepusha msongamano.Ndugu yangu haya mambo bana.
Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
Kama utampata mume,huyo mtoto peleka shule ya bweni ili maisha yaende vizuri.
Kuzaa mapema si mbaya,kama afya iko njema bado anafaa kuolewa.Inatia huruma sana maskini ya Mungu
Utanunua gari ukiwa kwa mume mkuuSubiri kwanza ninunue gari
Kama utampata mume,huyo mtoto peleka shule ya bweni ili maisha yaende vizuri.
Ukweli nimemuonea huruma, anaonekana yuko desperate. Namuombea kheriwape namba pm hapa hadharani watasumbua hadi watoto wa la 4C
NB. walio serious wamtafute huyu dada msimsumbue wakuu.nakuombea kila la kheri
Kusomesha mtoto ni mtihani mkuu;hujawai kujiuliza swali,kwa nini simba dume akivamia mji wa dume mwenzake hupigana na kumfukuza,na baada ya hapo uamua kuua wale watoto wa dume la zamani,na kuanza uzao mpya na yule jike?Vip utasomesha mtoto
Ambaye ameshajenga au anayeishi nyumba ya kupanga?Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Upweke unatesa..Ukweli nimemuonea huruma, anaonekana yuko desperate. Namuombea kheri
hapo kwenyte mtoto hapo patakimbiza wengi, au wengi watakuja kukuchezea.Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
siyo kama dadayako sky eclat?Sina chama,mimi ni mzalendo na misimamo yangu hapa JF ipo kote kote inategemea na jambo lililofanywa na mimi ninalichambua vipi.
ha ha ha wengine bado wanamtazamo wa kizamani akiamini ile huduma ndio ajira yake.Ila wanawake bwana unataka mchapakazi wakati wewe hujatuambia unafanya nini hapa duniani ili kukuwezesha kuishi.
WE SIO MUOAJI NI MDODOSAJI TU, USIMUHARIBIE BIBIE FURSAUnapotaka kununua shamba lazima uulizie mipaka ya shamba husika. Unaweza kuingiliwa kwenye eneo lako.