KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Baba mtoto alishakufa...???Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Ila wanawake bwana unataka mchapakazi wakati wewe hujatuambia unafanya nini hapa duniani ili kukuwezesha kuishi.
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mrembo kakubali wahenga tushaelewa zama nae pm mkayajenge unataka akubali jukwaa mkuu unaniangusha[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naanzaje kumnyanyasa mtu ninayempenda. embu bana acha hizo hili jambo la heri tulifanye upesi.
unacheka? unaona kama mimi naleta comedy? 😢 😢[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani Kwani upo siriasi? [emoji23]unacheka? unaona kama mimi naleta comedy? [emoji22] [emoji22]
Tangu lini mimi na wewe tukawa na utani?Jamani Kwani upo siriasi? [emoji23]
Haya banaWewe dada mimi nakuombea na nimekubali kweli wewe unataka serious relationship sio wadada wanakujaga apa wanamaneno yao utasikia sijui awe educated na awe anajua kingereza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kingereza kitaweka chakula mezani ? Mimi huwa nna kauli yangu moja nawaambiaga strangers, and this has been my all time PICKUP LINE KWA MTU YEYOTE YULE AMBAYE SIMJUI AND IT WORKS 90% " Sio kila mtu utakaefahamiana nae lazima awe amezaliwa ulipo zaliwa wewe au ulipoish wewe na ndio mjuane na muanze kudate kuna namna nyingi sana ya kujuana, which means unaweza kudate na mtu yeyote uliekutana nae kivyovyote na relationship ikafanya kazi, kinachohitajika ni upendo na heshima" So basically what I am trying to say is that, I understand you and i wish you the best of luck....Kwa umri wako utakuwa umekwepa mikuki ya kutosha kwahiyo itakuwa rahis kuwa identify matapeli...
Tangu lini mimi na wewe tukawa na utani?
Kwani mingi sana hiyo?Hahahah..
Eti tu..
I love u more.I love you [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
kigezo cha umri ndo changamotoMmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Thanks babyI love u more.