jabarijoka
Member
- Jul 5, 2020
- 23
- 19
Daaah muache kijana wa watu hapo alikuwa kalewa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1508567
Huyu taperi
Soma comment ya mdau, page ya kwanza mwishoni ndio ufanye uamuzi sahihi.Kama upo Mwanza njoo pm tuanze majadiliano ya ukweli.
Weweeee!!. Unaishi dunia gani?. Vijana waliopo makanisani hasa wasomi ni wale waliokwishakata tamaa kwa ajili ya madhambi na stress Za kukaa jobless miaka mingi baada ya kutoka na makarai vyuo vikuu. Mama wachungaji na wao wamewafanya vijana hao mtaji wanawasakizia wasichana kwa dau la 500,000/=. Kwa kila msichana atakeyefanikwa kulengeshewa kwa kijana na kufunga ndoa. Wewe binti nenda sehemu za recreations siku za weekend utakutana na vijana wenye ajira zao wako huko ku relax baada ya kazi za week nzima. Nimekusubiri pm sikuoni.Hongera!!!
Sio hekima kutafuta mchumba "social media".
Kabla ya kuandika thread uliingia kwenye maombi binafsi kupata muongozo wa "Roho Mtakatifu" au unajaribu kutikisa kijito cha maji uone kama kuna samaki?
Dhamira yako itapata jawabu.
Desturi za wakristu ni kutafuta mchumba mshirika ndani ya kanisa unaposali.
Kama hakuna basi unaweza sogea kanisa la Kristu lingine kuomba msaada, haswa haswa mama mchungaji atakusaidia kukuonyesha njia(mtu).
Wanatuchezaa sana akili Hawa hawajui makaburi yapoView attachment 1508567
Huyu taperi
Huwa wanasemaga wakitakiwa kusema. Au kama kuna sababu ya kusema.Wenye bikira huwa hawasemi
Uamuzi ni wake. Ushauri umefika, tusimchagulie.Weweeee!!. Unaishi dunia gani?. Vijana waliopo makanisani hasa wasomi ni wale waliokwishakata tamaa kwa ajili ya madhambi na stress Za kukaa jobless miaka mingi baada ya kutoka na makarai vyuo vikuu. Mama wachungaji na wao wamewafanya vijana hao mtaji wanawasakizia wasichana kwa dau la 500,000/=. Kwa kila msichana atakeyefanikwa kulengeshewa kwa kijana na kufunga ndoa. Wewe binti nenda sehemu za recreations siku za week end utakutana na vijana wenye ajira zao wako huko ku relax baada ya kazi za week nzima. Nimekusubiri pm sikuoni.
Huwa wanasemaga wakitakiwa kusema. Au kama kuna sababu ya kusema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu mmeshafukua makaburiView attachment 1508567
Huyu taperi