Natafuta mchumba wa kunioa, nipo Mbeya


Rudi shule kwanza!!!
 
Huwa kuna reward system, life unaloishi leo hata ukitry kustop litarudi tuu huko mbele, once mla bata hata kwenye ndoa itajirudia kula bata, over.
no nakataa mkuu kwa hiyo unataka kusema ile stage ya utoto au uteeneager utajirudia tena? acha hizo kila kitu kina wakati wake
 
Kwanini muda mwingine hupatikani? Au unataka kuolewa mara ya pili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa zote ninazo hadi number ya 0757****** ninayo nitafute
 
Kwa kweli nilipenda mke wa umri wako lkn nikicheki picha yake mbona naona ni zaidi ya 30 au kilimo kimekuzeesha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeingia jf juzi tu leo unataka mke duh

Sent from "La -Vista"
 
NIPO TIYARI AISEE
 
me sikubaliani na wewe
Suppose ulikuwa MTU Wa bata ikatokea ukaolewa na jamaa ambaye sio wa bata
Siamini kwamba utavumilia kuacha bata kabisa ktk maisha yako ya ndoa, kuna Siku tu utarudi batani hususani ukikutana na rafiki zako wapenda bata ambao hawajaolewa bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…