Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, Natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri saw tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Namba yang ni 0757****** napatikana kuanzia SAA 07:30pm,
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa kuna reward system, life unaloishi leo hata ukitry kustop litarudi tuu huko mbele, once mla bata hata kwenye ndoa itajirudia kula bata, over.inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
no nakataa mkuu kwa hiyo unataka kusema ile stage ya utoto au uteeneager utajirudia tena? acha hizo kila kitu kina wakati wakeHuwa kuna reward system, life unaloishi leo hata ukitry kustop litarudi tuu huko mbele, once mla bata hata kwenye ndoa itajirudia kula bata, over.
Kwanini muda mwingine hupatikani? Au unataka kuolewa mara ya pili?Hi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, Natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri saw tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Namba yang ni 0757****** napatikana kuanzia SAA 07:30pm,
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi bata hawapatikani amekimbilia porini.inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
Kwani siku hizi ukubwa wa vifua haupo tena Kilimanjaro?Utangaze kwani unakasoro gani? chema cha jiuza kibaya chajitembeza, kama mtoto amesimamia kucha kisha mtoto katulia yeye anakaa anachagua nani amuoe.
Sio 100% kujirudia ila kuna uwezekano mkubwa wa kujirudia na triggers za reward system zipo nyng mno.no nakataa mkuu kwa hiyo unataka kusema ile stage ya utoto au uteeneager utajirudia tena? acha hizo kila kitu kina wakati wake
me sikubaliani na weweSio 100% kujirudia ila kuna uwezekano mkubwa wa kujirudia na triggers zipo nyng mno.
Sifa zote ninazo hadi number ya 0757****** ninayo nitafuteHi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, Natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri saw tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Namba yang ni 0757****** napatikana kuanzia SAA 07:30pm,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli nilipenda mke wa umri wako lkn nikicheki picha yake mbona naona ni zaidi ya 30 au kilimo kimekuzeesha?Hi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, Natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri saw tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Namba yang ni 0757****** napatikana kuanzia SAA 07:30pm,
Sent using Jamii Forums mobile app
NIPO TIYARI AISEEHi jamani,
Naitwa Marry nipo Mbeya, Natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.
Awe amesoma angalau had fom four
Awe ameajiliwa au anejiajiri saw tu
Awe mkweli na mwenye busara.
Namba yang ni 0757****** napatikana kuanzia SAA 07:30pm,
Sent using Jamii Forums mobile app
Suppose ulikuwa MTU Wa bata ikatokea ukaolewa na jamaa ambaye sio wa batame sikubaliani na wewe
Amna bata sikuizi hari tete kashasoma alama za nyakati uyoinekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
ngoja nikubali tuSuppose ulikuwa MTU Wa bata ikatokea ukaolewa na jamaa ambaye sio wa bata
Siamini kwamba utavumilia kuacha bata kabisa ktk maisha yako ya ndoa, kuna Siku tu utarudi batani hususani ukikutana na rafiki zako wapenda bata ambao hawajaolewa bado.
ha haha sawa
Wote tushamuona, wats ur pointHuyu Ndo dada anayetafuta mume
![]()