Natafuta mchumba wa kunioa, nipo Mbeya

Watu wa mbeya ni wanauvumilivu, busara ukweli na upole,... Mungu akupe tamanio la moyo wako,
 
Naona sikuhizi ndoa ni kivuli cha kupumzikia ukifeli na ukachoka kukaa kwenu unatafuta mume

Rubiikimimi[emoji85]
Hata me naona mbaya zaidi wanaume wenyewe wa karne hii wasiojitambua hakuna pumziko aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…