Francis asumile mwandima
Member
- Jul 29, 2017
- 9
- 21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya ngono ovyo ovyo na wanaume ndo kuexplore life???[emoji17][emoji17][emoji17]aexplore life kwanza ajue mambo tofauti mangi halafu aolewe
Sijaongelea ngono mkuuKufanya ngono ovyo ovyo na wanaume ndo kuexplore life???[emoji17][emoji17][emoji17]
Nafahamu na ninajua wanawake wanaodai kuwa wanaexplore life kama wewe huwa wanajikuta kwenye risk ya kufanya ngono nje ya ndoa!!......am i wrong??Sijaongelea ngono mkuu
Nani anaoa mwanamke mwenye 25? Wa nini? Nani anataka mhenga!inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
Mmmh
Hakuna kitu kama hicho ni mawazo yako tuNafahamu na ninajua wanawake wanaodai kuwa wanaexplore life kama wewe huwa wanajikuta kwenye risk ya kufanya ngono nje ya ndoa!!......am i wrong??
inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
Hata me naona mbaya zaidi wanaume wenyewe wa karne hii wasiojitambua hakuna pumziko aiseeNaona sikuhizi ndoa ni kivuli cha kupumzikia ukifeli na ukachoka kukaa kwenu unatafuta mume
Rubiikimimi[emoji85]