Natafuta mchumba wa kunioa

Mtoto mdoooogo, mbichiiii kwa enzi izo asingeweza kuthubutu ata kuandika haya! Huyu wa sasa ameshagongwa gongwa kwa umri wake huo adi amekata tamaa ya kukutana na mume wake alopangiwa na Mungu kaja kutafuta mitandaoni
Kwani mitandaoni sio watu Ebu acheni fikra za zamani.Kwani wewe umeitwa huku?? Na hujajiuliza swali Dogo why watu wa JF waweke love connect
Kweli ushamba Ni mzigo wa kichwa
 
Piga kelele kwa muolewajwii naona Mabazazi wachafua Binti za watu walivyonuna
Safi
Hizi mbinu zianze kutumika na wengi
 
Jamani 20 Sasa anajitambua na Elimu hata kwenye ndoa atasoma tu Tena ndo kitabu kitanyooka huwezi just kipato chake Cha sasa
 
Hayo mambo ya zamani, kipindi Hicho watu walikuwa wachache ilikuwa ni rahisi kufanya hayo. Leo kijana unaependa akuoe yupo Tandale kwa tumbo, familia na ukoo wake hupo kagera, Hapo dad yako atascan vipi tabia ya huyu bwana na familia yake japo kwa uchache.
 
Kwani mitandaoni sio watu Ebu acheni fikra za zamani.Kwani wewe umeitwa huku?? Na hujajiuliza swali Dogo why watu wa JF waweke love connect
Kweli ushamba Ni mzigo wa kichwa
Si ususbiri alete mrejesho wa kupata mume humu ndo yakutoke yanayokutoka?? Usijifanye mjuaji kiiivo binti
 

Mamdogo kunywa kwanza maji
Alafu shusha pumzi kidogo
Alafu take it easy
Hakuna sehemu niliyosema kua hawezi kupata mchumba huku!
Ila maana yangu ilikua kua asipangalanyane sana na wa huku asio wafahamu kabisa
Kinyume chake achague kati ya wale anaowafahamu vizuri
Na ikiwa hakupata basi aje kama alivyokuja
Coz apate au asipate ni juu yake mwenyewe
Maisha atayaishi mwenyewe
Sio kama tumemkataza ila yalikua maoni yangu kama yalivyo maoni ya watu wengine



J3 njema dadangu @Preciouss
 
Ma Bro wenye digrii nendeni mkahojiwe na mdogo wenu wa kidato cha nne [emoji23][emoji23]
 
Dunia ya sasa imebadilika,
siku hizi wadada nao wanatafta wanaume wa kuwaoa tena mtandaoni.......
 
Umempata!!!?
 
Umekuwa hakimu weye
 
Lusaa mwaree ahhhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…