Natafuta mchumba wa kunioa

Natafuta mchumba wa kunioa

Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mamb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
0747334146 nitafuta
 
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
mchumba haoi, sema una tafuta mume wa kukuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kunihoji maswali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaani huko vp?
Mimi ni msichana ninaishi Dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using OnePlus 6T Maclean Edition
 
warangi! hapana labda itokee tuu... NIMEKOMA.
 
Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawaza ya kipindi cha miaka ya 60 binti. Yaani unataka mtu mkubariane kwenye simu bila hata kumuona kwanza?. Unafikiri hawa vijana ni wale wakweli wa miaka ya 70?. Je kama ana matatizo fulani fulani yale ambayo hukuyatarajia?. Labda viuongo,kupungua uwezo wa kiakili n.k. Halafu iweje usimsome kwanza huyo mumeo mtarajiwa?.

Kukutana nae hakumaanishi kukutana kimwili,unakutana nae kwanza wewe kabla mtu mwingine yoyote ndugu. Hata kwa maongezi tu ya hapa na pale unaweza kumsoma kwa mambo mengi,kama uongo,usoni tu ongea yake unaweza ukampima pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha basi
Mimi ni msichana ninaishi Dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mwanaume angalia alicho changia katika huu uzi #5#.
Duuuh...! Watu mnafukua hakipiti kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni msichana ninaishi Dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni msichana au shoga?
 
Lakini nikuulize kidogo
Hakuna vijana wanaokutafuta tafuta Apo mtaani kwenu?

kelphin kepph
Hili swali limeshaulizwa Mara nyingi na majibu yakatolewa labda mwenzetu Ni mgeni humu.
Kwanza hili jukwaa Ni special kwa jili ya Love Connect na walioweka segment hii yote hayo wanayajua kwamba mtaani na mtandaoni hakuna tofauti .Unaweza kuta hata wewe upo jirani na huyo Dada bht tu mmekutana humu bila kujua
Kwani watu wa mtaani na hapa Ni wale wale au wewe sio mtu?
Mfano Kuna vyuo online na vya kwenda physically.
Yote Ni maendeleo na mtu mzima hapangiwi Sasa Kama mtaani hawajajitokeza asijaribu huku mbona wengi wamejaribu na kupata.
Mifano ipo hai sir mahusiano yote mazuri simply because walikutana mtaani.
Sasa wewe tulia dawa ikuingie na acha kuingilia yasiyokuhusu unaweza Anza kuperuzi page za kujufunza kupika maandazi huku umevamiaa na wenzako wote wenye mindset mbovu
 
Back
Top Bottom