Mchina anahusika,Sijazaa na sijawahi kuwa na mwanamume katika mahusiano .
Kuhusu umri nadhani ushafikia nahofia nikizidi kukaa bila kuolewa nitazinii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi kwnye gunia.Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Mungu akupe mume mwemaMimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mwanaume angalia alicho changia katika huu uzi #5#.Mdogo wangu, mi nakushauri uende Form V!
Ninachojua, mtoto muungwana na mtulivu na mwenye Bikra Kama wewe, tayari washenga wangekuw wameshamzungukia na barua za vijana waungwana pia!
Mwenye Siri ya Bikra yako na tabia yako ni wew au mwenyew au aliyekubikiri kama umedanganya kuhusu Bikra!
Lkn kimantiki inaleta ukakasi kwa mtu mwenye sifa Kama zako, ktk umri wa miaka 20 kuanza kujitangaza kutafuta mwanaume!
Ukweli unao wew, sisi kazi yetu ni kukutakia kheri katika hitaji la nafsi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume huyu ona alichochangia katika huu uzi #5#[emoji1427]Pambana na magonjwa yafuatayo kwa kutumia bamia
Ni mwanaume angalia huu uzi #5#Write your reply...wai mapema nakusubil ww chap chap
Huyu ni me
We mrangi njoo ujibu hili swali ..Una chura?
Soma hii #17#[emoji1541]Masanja Mkandamizaji huyu huyu amekua na upako wa kuangusha watu?!
Una wazimu weweNamba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma ulicho post hapa #17#[emoji1427]Hakuna utapelii . Huenda unadhani labda kunatapeli. Nikuhakikishie kuwa hautaombwa hata mia mbovu we kama uko serious kariib
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi mwingine alichangia #17#[emoji1541]Tobaa wale mabaharia walioenda piemu lazima watakuwa wamepiga breki na kurudi resiii
Sent using Jamii Forums mobile app