Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Huwezi kunielewa Kama huna hofu ya kutafutwa na Hawa majamaa..Sijakuelewa mpendwa
Jesu's Christ !!!Ukigongwa gongwa lazima uchoke, uchakae na kwa vyovyote lazima kukata tamaa [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Na hapo je? si kasema kamaliza 4m4 ...... Mbona hiyo post ya mwaka jana kasema alipata mkopo wa chuo[emoji28]?Anakwambia alikuwa anajifanya mwanaume eti sababu amesikia wanaume wa humu ni wasumbufu
Atiii yakhee
Sheikh kuna kitu cha kirangi hapo...Atiii yakhee
Tena cheupe pyeeee! Huo ndo mwanzo wa kuchapiwaSheikh kuna kitu cha kirangi hapo...
Acha kutoa siri za watuKua makini kuna wazee wa kula tunda kimasihara[emoji317]
Kwasasa bado sijaelewana na mtu japo pm wapo wengii ila kuna kitu nataka uelewe ni kuwa.
Mimi bado inatakiwa niendelee kusoma kwani matokea yangu ya kidato cha nne ni mazuri . Na baba alinizuia nisiendelee mpaka nitakapoolewa kwani kusoma vyuo hivi ambavyo watu wapo huru ni mtihan. Hivyo anaekuja kutaka kunioa lazima ajue kuwa bado nahitaji kusomaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Asante mkuu kwa ufukunyuku.Huyu ni mwanaume angalia alicho changia katika huu uzi #5#.
Pambana na magonjwa yafuatayo kwa kutumia bamia
Watu wengi tumekuwa hatutumii bamia either kwa ladha yake au tu kasumba ya kuona bamia ni MBOGA ya walalahoi ! Leo naomba ufahamu bamia kama moja ya mboga za majani ndio MBOGA yenye uwezo wa kusaidia afya zetu. Bamia ina utajiri wa nutrients mbali mbali. Nutrients hizo ni: 1) Calories - 30...www.jamiiforums.com
Khaa! Bahati yake sina tusi jipya.Uzi mwingine alichangia #17#[emoji1541]
Masanja Mkandamizaji huyu huyu amekua na upako wa kuangusha watu?!
Khaa..!!Masanja mkandamizaji amekua na Upako kama wa Askofu Kakobe wa Kuangusha watu hivi??!! @NgarenaroBoy.www.jamiiforums.com
Duh jamani!!,halafu baadae angeanza kuomba hela kwa waliokwenda PM,umaskini kitu kibayaKhaa! Bahati yake sina tusi jipya.
Wewe hautafti ?
ππππ anajichanganya tu huyu sijui lengo ni niniNa hapo je? si kasema kamaliza 4m4 ...... Mbona hiyo post ya mwaka jana kasema alipata mkopo wa chuo[emoji28]?
Au pia alijifanya mwanachuo kwasababu usipokuwa mwanachuo hapa jf utasumbuliwa?[emoji23][emoji23][emoji23]