Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Ulishampata mwenza?Rangi yangu chocolate [emoji23][emoji23]tuzingatie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishampata mwenza?Rangi yangu chocolate [emoji23][emoji23]tuzingatie
Nani alikwambia natafuta mwenza?Ulishampata mwenza?
Nilishawai kuona uchumba unavunjika kwasababu ya jamaa alikuwa ananuka miguu hatari.UNGEJAZIA ASIWE ANANUKA KIKWAPA AU MDOMO AU MIGUU HII KITU INAKERA SANA NA WADAU WENGI WANAISAHAU SANA I LOVE YOU SO MUCH BAIBE
HlwHello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
Leejay49Hello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.
kwa mawasiliano zaidi njoo pm.
only kwa walio serious.
wee mzee🧐🤒
Kumbe wanyambo nao wajanjawee mzee🧐🤒
😂😂😆Nimeokota Dodo Chini Ya Mnazi!
Shida kipara na maneno yako, wata hisi wame fuga nyoka na kasuku😆🤣Hamjaachana bado tuje pm?
Mimi na maneno wapi na wapi dogo mbona unasagia kunguni?Shida kipara na maneno yako, wata hisi wame fuga nyoka na kasuku😆🤣
Bro USI bishe, Nita kupasua Kama Anthony Joshua alivyo mpiga nganou 😆🤣Mimi na maneno wapi na wapi dogo mbona unasagia kunguni?
Hii ya kunuka miguu ukiichunguza sana haina uhalisia, ni uchafu tu wa mtu na uzembe wake.Nilishawai kuona uchumba unavunjika kwasababu ya jamaa alikuwa ananuka miguu hatari.