Natafuta mchumba wa kunioa

Natafuta mchumba wa kunioa

Hello everyone,

Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.

sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.

sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.

kwa mawasiliano zaidi njoo pm.

only kwa walio serious.
Hlw
 
  • Thanks
Reactions: htz
Hey ther im (......)28,,...natafuta rafiki wa kike
Age 24-32 life z 2uushort kufa pekeako..
 
Hello everyone,

Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.

sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.

sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe amewai kuoa, awena kazi au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato, asiwe muongo muongo.

kwa mawasiliano zaidi njoo pm.

only kwa walio serious.
Leejay49
 
Nilishawai kuona uchumba unavunjika kwasababu ya jamaa alikuwa ananuka miguu hatari.
Hii ya kunuka miguu ukiichunguza sana haina uhalisia, ni uchafu tu wa mtu na uzembe wake.

Saikolojia yako ikibweteka kuwa una tatizo la kunuka miguu, waweza ishi maisha yote ukisumbua watu kwa harufu ya 'panya kaoza' kizemzembe.

Ukitaka kuamini ninatakayosema, fanya yafuatayo: Nunua soxy pair za kutosha kuvaa wiki mbili ama zaidi ili uweze kuvaa siku moja moja bila kurudia, kuvaa soxy kwa kurudia ndiyo tatizo huanzia na kupelekea hata kunukisha viatu.

Safisha miguu kabla ya kuvaa soxy na viatu vyako.

Kama una tatizo la fungus linatibika kirahisi bila ya dawa complex ni rahisi sana kuliondoa ukizingatia usafi wa miguu yako.

Tatizo la wengi, mtu unakuta ana pair 2 kazidi 3 za soxy!
Chupi nazo anamiliki 3 kazidi 4!

Kwa usafi usiotia shaka, hakikisha nguo za ndani zikiwemo soxy na viatu, unakuwanavyo vingi vya kutosha ili kuepuka adha za kuwanukia watu harufu za ajabu ajabu.

Ingawa watu husema eti harufu yako mwenyewe hauwezi ihisi vibaya, mi huwa nakataa, siyo kweli.

Huyo mchumba naye hakuwa serious, angelimsimamia usafi kwa muda mfupi tu huyo mchumba wake hilo tatizo lingeliondoka.
 
Back
Top Bottom