Natafuta mchumba wa kuoa lakini

Natafuta mchumba wa kuoa lakini

LOVED

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
49
Reaction score
24
MIMI NI MWANAUME MWENYE MIAKA 27 NATAFUTA MCHUMBA MWANAMKE AMBAYE MUNGU AKIPENDA TUFUNGE PINGU ZA MAISHA lakini NIWE WAZI MIMI NI MASKINI WA PESA LEO NINACHO,KESHO SINA.NAAMINI NIKIPATA MWENZA MAISHANI TUTAINUKA.
KAMA NI MSICHANA WA MIAKA 23 HADI 26 NA UNAUHITAJI KAMA MIMI NI PM asanteni
 
Hapo pakupata leo..kesho huna,kuna dada mmoja anaitwa Natalia, nahisi atakuwa na neno mbili tatu..hivi za kugusia.
Otherwise all the best mkuu.
 
Last edited by a moderator:
jithidi utapata lakini ukweli ni sumu katika mapenzi ya kibongo
 
Hivi nyie vijana huko mitaani kwenu mnaishije lakini?
Ina maana hamuwaoni kabisa wanaoweza kuwafaa, mpaka mje huku kwenye mitandao, kha!
 
Nipo tayar umesema pesa huna je sura nzur ipo?tusijekuzaa watt wabaya af wakue wajekutulaumu😛
 
Poleeee weeee

Siku hizi pochi ndo zinathaminishwa lol

I pray for u wasile kona.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mpunga ndo mpango mzima, sasa wewe leo kesho yako haina uhakika unadhani nani atashoboka??
 
hivi ni lazima kucomment kila uzi unaopostiwa, maana naona mtoa uzi kujieleza vizuri watu mnaanza kumcrash, muacheni jamani kasema ukweli kuhusu uwezo wake na tunaamini wapo wenye nia na dhamira kama yake. Ni mawazo tuu
 
MIMI NI MWANAUME MWENYE MIAKA 27 NATAFUTA MCHUMBA MWANAMKE AMBAYE MUNGU AKIPENDA TUFUNGE PINGU ZA MAISHA lakini NIWE WAZI MIMI NI MASKINI WA PESA LEO NINACHO,KESHO SINA.NAAMINI NIKIPATA MWENZA MAISHANI TUTAINUKA.
KAMA NI MSICHANA WA MIAKA 23 HADI 26 NA UNAUHITAJI KAMA MIMI NI PM asanteni

Tehe teheee! Hapo kwenye RED, kama ni mvulana wa miaka 23 hadi 26 inakuwaje waje? Jifunzeni kuweka vizuri post zenu.

Hapo kwenye Blue. Unawezaje kumhakikishia huyo msichana kuwa mkioana mtainuka kimaisha? Una mikakati gani inayosubiri hadi upate mwenza ndo uanze kuitekeleza ili muweze inuka kimaisha?
 
Tehe teheee! Hapo kwenye RED, kama ni mvulana wa miaka 23 hadi 26 inakuwaje waje? Jifunzeni kuweka vizuri post zenu.

Hapo kwenye Blue. Unawezaje kumhakikishia huyo msichana kuwa mkioana mtainuka kimaisha? Una mikakati gani inayosubiri hadi upate mwenza ndo uanze kuitekeleza ili muweze inuka kimaisha?

Imani itaniponya
 
wanawake ni watu wa huruma,naona mnacheza na hisia...ili kuvua.... lol
 
Mm khalifa Saidi (28) najitokeza natafuta mchumba msichana muislam umri 18 - 22, awe mweupe wa asili, mwembamba ila napenda sura nzuri, shep inamata, aliotayari anitafute kupitia 0689 857 985, Email: halsalha2012@gmail.com. mm ni maji ya kunde, sio mnene,mrefu wastani, maisha ninayoishi ya kawaida mm sio tajiri, nimejiari, kwa mkiristu kama atapenda kubadili dini poa. Nina amini mchumba anatoka popote hata bar inawezekana.
 
Back
Top Bottom