Natafuta mchumba wa kuoa

Natafuta mchumba wa kuoa

Mwanangu akianza huu mtindo namchapa bakora. Kuna kipindi anajibu message anaandika "k" eti ndio okay, nikamwambia hiyo lugha yako sitaki kuiona machoni mwangu.


hahahahhaha inakera mkataze atumie na wenzake huko huko! mie nadhan nitakuwa mchungu na mnoko kwa wanangu aisee!
 
Ukimpata ni tag


babaydoll nionee hurumaleo kila sehem nakuta viuko tupu hahhahahahah eti mtag! hahahaa akutag na huku mwenako ni mchumba wa kuoa!uwiiiii! ngj nimfate mtu aniambie km kucheka sana sio ugonjwa!leo nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
babaydoll nionee hurumaleo kila sehem nakuta viuko tupu hahhahahahah eti mtag! hahahaa akutag na huku mwenako ni mchumba wa kuoa!uwiiiii! ngj nimfate mtu aniambie km kucheka sana sio ugonjwa!leo nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Umeongeza siku za kuishi. Hapa jf huwezi pita bila kucheka ni raha tu
 
babaydoll nionee hurumaleo kila sehem nakuta viuko tupu hahhahahahah eti mtag! hahahaa akutag na huku mwenako ni mchumba wa kuoa!uwiiiii! ngj nimfate mtu aniambie km kucheka sana sio ugonjwa!leo nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sis.. Ukicheka sana mbavu zitakuuma eti.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
hahahahhaha

hahaaha nakumixx xana aixee!vipi hom wanaxemaje !yaan nacheka had nasweat doh

hahaaha nakumixx xana aixee!vipi hom wanaxemaje !yaan nacheka had nasweat doh
 
Mmeamua kubadili uzi wa watu uwe ni wa kujifunza mwandiko. Sio vizuri mchumba ndio anahitajika. Baby Doll kwani umeshaolewa?
Xaxa xi tunamxaidia kuweka Uzi active apate mchumba.
Sijaolewa demi
 
Back
Top Bottom