Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
- #21
Mimi situmii facebook mkuu na wala mimi sikai kijijini nimekuja JF lengo kutafuta mke humu naimani JF ni mtandao watu wenye upeo kidogo na maishaKwani unaishi kijiji gani hicho kisichokuwa na wanawake mpaka kufikia kutafuta mwanamke mtandaoni, tena social media ambayo mtu anatumia fake id??
Kwanini usiende hata Fasibuku, angalau huko wanapost picha zao.
Kuhusu kutafuta mchumba mtaani kwangu aisee hili hapana kwasababu ya kulinda privacy yangu