Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
-
- #21
Mimi situmii facebook mkuu na wala mimi sikai kijijini nimekuja JF lengo kutafuta mke humu naimani JF ni mtandao watu wenye upeo kidogo na maishaKwani unaishi kijiji gani hicho kisichokuwa na wanawake mpaka kufikia kutafuta mwanamke mtandaoni, tena social media ambayo mtu anatumia fake id??
Kwanini usiende hata Fasibuku, angalau huko wanapost picha zao.
Najua mkuu me nipo makini sana kikubwa nipate mwanamke atakayekuwa seriously na tangazo languKuwa makini na machangudoa wanaosambaza ukimwi humu ndani. Usije kusema hukuambiwa
Kila la heri [emoji120]View attachment 2672969
Ni majukumu tu yalinibana ndio maana unaona nimechelewaMbna amechelewa kwa muislamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine 20 tyuuh ana mke tayari
Sawa mkuu japo mimi sipendezwi na wanawake wa mtaani kwangu ndio maana nimekuja humu JFTengenrza mwanamke wako huyo unayemtafuta hayupo huku mtaani
Wewe tafuta hela kama bado hujazipata tuache sisi wenye nazoSawa wacha ntulie
Shukurani kwa kushiriki tangazo. Acha wengine waje labda watafit vigezo vyanguDah nimetoka kwa KO
Kwani kusoma ni lazima uwajiriwe???? Hapana!! Mimi hobbies yangu ni business na nipo chuo kujiongezea maarifa na sijapoteza muda wangu kwasababu nimejifunza na nimeweza kusimamisha biashara yangu kupitia elimu niliyoipata chuoni.Mna mbwembwe nyie mkiwwa chuo bado!!!
Kama huna mpango na ajira kwa nn unapoteza muda kukaa shule hiyo degree ni ya nini.
Ungeacha mapema ufanye hicho unachosema unafanya biashara haihitaji hiyo degree zaidi ya namba tuu.Ngoja umalize chuo
Tumeamrishwa kufuga ndevu ni sunna kwa muislamu[emoji23][emoji23] sitaki mandevu mie
Mbona mimi sijasomea biashara na nimesoma vitabu vya biashara.Unatupiga fix hapaKwani kusoma ni lazima uwajiriwe???? Hapana!! Mimi hobbies yangu ni business na nipo chuo kujiongezea maarifa na sijapoteza muda wangu kwasababu nimejifunza na nimeweza kusimamisha biashara yangu kupitia elimu niliyoipata chuoni.
Kuhusu kutafuta mchumba sio kwasababu ya sifa ni kupata utulivu wa nafsi
Maana hayo unayoita maarifa huko sidhani kama yatakusaidia hivyo unavyosema.Any way pambana tu kwa nn hayo maarifa yasikusaidie kupata mke mazingira uliyopo unakuja kutafuta huku mtandaoniMbona mimi sijasomea biashara na nimesoma vitabu vya biashara.Unatupiga fix hapa
Maana hayo unayoita maarifa huko sidhani kama yatakusaidia hivyo unavyosema.Any way pambana tu kwa nn hayo maarifa yasikusaidie kupata mke mazingira uliyopo unakuja kutafuta hukuMbona mimi sijasomea biashara na nimesoma vitabu vya biashara.Unatupiga fix hapa
Mbna amechelewa kwa muislamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine 20 tyuuh ana mke tayari
Kwani mimi nilikuja kutangaza biashara yangu au kwa lengo la kutafuta mchumba ebu tuanzie apo mkuu mbona unapanic sana??Ambao hawataki kuajiriwa wanafanya vitendo siyo maneno.