Natafuta Mchumba wa kuoana naye.

Natafuta Mchumba wa kuoana naye.

Jnchimbi

Member
Joined
Dec 4, 2011
Posts
37
Reaction score
7
Natafuta Mchumba wa kuanza naye Maisha.
Naitwa Fatma Ally ni mtanzania kutoka Zanzibar ila kwa sasa naishi hapa Doha,Qatar na ninafanya kazi na kampuni ya chakula hapa Doha,Ninatafuta mchumba wa kuanza naye maisha ya ndoa,ni lazima awe Muslim wa Tanzania bara au Zanzibar,mkweli na mcha Mungu,Sibagui langi wala kabila au kipato,awe na mapenzi ya dhali.
Naomba tuwasiliane kwa email ifuatayo;
fatma@qualityservice.com
 
Natafuta Mchumba wa kuanza naye Maisha.
Naitwa Fatma Ally ni mtanzania kutoka Zanzibar ila kwa sasa naishi hapa Doha,Qatar na ninafanya kazi na kampuni ya chakula hapa Doha,Ninatafuta mchumba wa kuanza naye maisha ya ndoa,ni lazima awe Muslim wa Tanzania bara au Zanzibar,mkweli na mcha Mungu,Sibagui langi wala kabila au kipato,awe na mapenzi ya dhali.
Naomba tuwasiliane kwa email ifuatayo;
fatma@qualityservice.com

dada fatma nadhan umesahau jambo moja kwamba mapenzi hayachagui dini.nadhan hapo umekua mbaguzi kidogo!
 
da fatma nikwambie kitu mpedwa ihamishe mada yako MMU ukikutwa hapa huta elekezwa zaidi kupigwa kashfa,kejeli na mchumba hujampata da shosti.
 
Wengine kama hamna cha maana ni bora mnyamaze sio kumnyanyapaa dada fatma. Yeye ametoa dukuduku lake na ameweka wazi mahitaji yake.dada fatma, nikushauri: Hujasema wewe una umri gani na unataka mchumba wa umri gani? Kila la kheri.
 
Natafuta Mchumba wa kuanza naye Maisha.
Naitwa Fatma Ally ni mtanzania kutoka Zanzibar ila kwa sasa naishi hapa Doha,Qatar na ninafanya kazi na kampuni ya chakula hapa Doha,Ninatafuta mchumba wa kuanza naye maisha ya ndoa,ni lazima awe Muslim wa Tanzania bara au Zanzibar,mkweli na mcha Mungu,Sibagui langi wala kabila au kipato,awe na mapenzi ya dhali.
Naomba tuwasiliane kwa email ifuatayo;
fatma@qualityservice.com

nasikia nyie wazanzibari mnatoa tigo sana
 
All the best fatma.. ila nikikuoa inabidi urudi Tanzania tusimamie biashara zetu:
 
Kiswahili hatuoani, mwanamke anaolewa. Kichwa cha thread kingesomeka "Natafuta Mchumba wa kuolewa naye".

Halafu kama unajali sana dini na utamaduni wa kiTanzania, mwanamke anatafutwa, hatafuti.

Ushaongea na nyanya na ami zako na ahali zao?

Hapa waeza pata hata mazimwi mtu na mapopo bawa yaso sawa.
 
Kila la kheri! Bt info zako hazikutimia!! Umri ujaweka!! My dada! UTAMPATA na Mungu mshirikishe pia!
 
nasikia nyie wazanzibari mnatoa tigo sana

Aisee! Hivi wewe mzima kweli ndugu yangu? Ila nadhani sio kosa lako, itakuwa Jipu limeiva na limejaa usaha....
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mpare, nimempenda msichana lakini anahofia kudumisha uhusiano kwani baba yake mdogo aliyemlea alimuorodheshea makabila ya kuolewa kwayo. Lolote lililopo katika orodha hiyo ni halali. Sasa mwanzo tulikubaliana bila kujua mimi ni kabila gani. Alipojua tu, mapenzi yameanza kupungua. Hebu mnishauri
 
Dada fatu nipim mie k ze nji tu fa nye mi pa ngo ma a na mi mwe nye we
na ta fu ta m chu mba huu mwa ka wa na ne ati
 
Back
Top Bottom