natafuta mchumba wa kuowa

natafuta mchumba wa kuowa

Ol ze best,.Mungu akupe waukweli mkuu,usikumbane na magumegume,ukachunwa hadi ngozi...mifuko ndani nje!
Wengine bado tupo tupo kwanza yakhe.
 
watoto wana umri gani?
wengine wanapenda watoto ila biashara za kufunga nepi nooo lol
kama wakubwa,holla lol:redface::redface::flypig:
 
Ol ze best,.Mungu akupe waukweli mkuu,usikumbane na magumegume,ukachunwa hadi ngozi...mifuko ndani nje!
Wengine bado tupo tupo kwanza yakhe.

sasa sichuniki mbinuzao hao wachunaji nazifaham sana na wala mii si mbumbumbu juu ya mahaba ya kitapeli, nilishatoka huko miaaka mingi, nataka wafaham juu ya hilo, na asante kwa ushauri wako.
 
watoto wana umri gani?
wengine wanapenda watoto ila biashara za kufunga nepi nooo lol
kama wakubwa,holla lol:redface::redface::flypig:

kwa sasa hawavai nepi na wanajuwa kusema wanachotaka.
 
sasa sichuniki mbinuzao hao wachunaji nazifaham sana na wala mii si mbumbumbu juu ya mahaba ya kitapeli, nilishatoka huko miaaka mingi, nataka wafaham juu ya hilo, na asante kwa ushauri wako.

very good!
 
kwa sasa hawavai nepi na wanajuwa kusema wanachotaka.

nini kilikushinda kwa mama hao au mama zao?ambacho kwa huyo atakayekuja umejipanga!!maana isije yakamtokea kama huyo au hao,siku nyingine uje useme natafuta mke na nina watoto 3.GUBEGUBE!!!!!!!!!!!!!1
 
nahitaji mtu kama wewe! mda ule nilikuwa kijana zaidi na sikuwa na elim juu ya women.sasa nimebobea najuwa yupi ni yupi na nani ni nani, ndio maana najiamini sana. kwa sasa ninaemhitaji namjuwa wala sitajali anatokea wapi, muhim anazo sifa ninazo hitaji, na kwake je ni maamuzi yake.
 
Asante ila mie kaumri kamezidipo kiduchu..

jiamin najieleze vizuri maana sijakuelewa. kameenda kiduchu unamaana kiko chini au kiko juu, hii ni shida ya watu wengi sana hawajiamin, mimi nakushauri somavizuri cv yangu halafu jieleze nitakujibu na kukupa ushauri, unajuwa nahitaji sana kusikia jamiii inasemaje juu yangu nakutakia siku njema.
 
habari za hapa wana jamiiforum? napenda nitowe shukurani zangu kwa ukurasa huu wa LOVE CONNECT maana kupitia hapa nitampata mwenza na nimeshampata tunawasiliana vizuri sana soon tutakutana. pia nilitoa ahadi endapo nitakamilisha wana jamii wote nitawapa anwani yagu ili mtoe maoni yenu na mpate kumfaham shemeji yenu. nawashukuru wote mlio nikosoa na kunilekebisha na kunipa ushauri asanteni sana. na ninawapenda sana. napia napenda niwashauri kama unataka kitu nilazima uwe na iman.
 
habari za hapa wana jamiiforum? napenda nitowe shukurani zangu kwa ukurasa huu wa LOVE CONNECT maana kupitia hapa nitampata mwenza na nimeshampata tunawasiliana vizuri sana soon tutakutana. pia nilitoa ahadi endapo nitakamilisha wana jamii wote nitawapa anwani yagu ili mtoe maoni yenu na mpate kumfaham shemeji yenu. nawashukuru wote mlio nikosoa na kunilekebisha na kunipa ushauri asanteni sana. na ninawapenda sana. napia napenda niwashauri kama unataka kitu nilazima uwe na iman.

hongera i hope atawapenda watoto kama wake....
 
hongera i hope atawapenda watoto kama wake....

asante hata mii nitampenda maana nilianmua kutafuta kupitia jukwaa hili itabidi niwape mwaliko. na itabidi mmfaham shemeji yenu au wifi enu. asante kwa sms. na ninakutakia siku njema.
 
Back
Top Bottom