Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

niny

Senior Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
104
Reaction score
55
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
 
Mhhhhhh
 
Kazi ya mwendokasi?
 
Ni vyema ukaongeza kigezo cha kujua kiingereza na asiwe kilalaza
 
I bet Israel is getting so much heat for dating a girl like her... I think she's sweet, but marriage material for one of the biggest and anointed gospel artists in the world? We will have to wait and see!!
 
Hajamchoka, ila ndio wale waliotumbuliwa. Au wale walionyimwa vijisafari vya nje,kwa hiyo kibabu kimeona kichague kusuka au kunyoa,kikaamua kuumwaga mchepuko kupunguza gharama.
ahaa,,,daaah aisee khy asa hv hali ngumuu....duuh asa vijana wa asa hv wenye uwezo wa kupiga goli kumi tofauti na wazee atawaweza kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…