awe anafanya kazi,,,aisee watu hawataki kuhangaika kabisa yaan full after moneyWewe naona utanifaa..........embu niPM tuanze mchakato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
awe anafanya kazi,,,aisee watu hawataki kuhangaika kabisa yaan full after moneyWewe naona utanifaa..........embu niPM tuanze mchakato.
Kama hadi sasa bado unatafuta mwanaume HANDSOME badala ya mwenye MALENGO...wewe bado hauna lengo la kuolewaMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Mbona mwandiko wako ni kama umesoma UDOM bi dada?UDSM
Noted...hakika lazima nimpeleke mtoto wangu akosome UDSM apate degree awe kama wewe...kumbe UDSM wanatoa product nzuri sana!!Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Unataka ndoa au burudani endelea na mume wa mtu siku hizi hakuna wanaume wa namna hiyoMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kwenye public kama hii jaribu kupunguza kupanic asa matusi mana unajiharibia but nakuja pm[emoji41]Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kazi hatuna ila hawezi kufa njaa.......!!!awe anafanya kazi,,,aisee watu hawataki kuhangaika kabisa yaan full after money