Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kama hadi sasa bado unatafuta mwanaume HANDSOME badala ya mwenye MALENGO...wewe bado hauna lengo la kuolewa
 
Mbona sifa zako ni chache sana yan mke anavigezo kidogo ivooo aiseeh mume mwema analetwa na bwana
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Noted...hakika lazima nimpeleke mtoto wangu akosome UDSM apate degree awe kama wewe...kumbe UDSM wanatoa product nzuri sana!!
 
Nina vigezo vyote ila tatizo hayo matusi ulitapika humu ngumu kumeza.
Ila usijali wapo wenye mioyo migumu utapata tu
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Unataka ndoa au burudani endelea na mume wa mtu siku hizi hakuna wanaume wa namna hiyo
 
mtaani kwenu umewamaliza sasa unakuja mitandaoni mmmm!! sijui jaribu kuendelea kutafuta kama unaweza ukabaatika sawa ennh
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kwenye public kama hii jaribu kupunguza kupanic asa matusi mana unajiharibia but nakuja pm[emoji41]

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom