Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tukianza kukosoana humu ndani sio fresh wadau mtu kuweka picha imekuwa kero jamani
Kuchunwa ni kuchunwa mbaya ni kuchunwa bila kuchuna...Wale wanaotaka kuchunwa buzi nendeni pm
Nawashangaa mnapo m-beza kijana kwa ujasiri wa kutupia picha hapa jamvini[emoji57], wakati siajabu ninyi mnao ogopa kutupia picha zinu hapa live ndio mnakua wabovu huko MP mkikesha hata kupiga magoti kwa wadada wa humu.....usije mjini wewe... utachunwa mpk utambae🙄🙄
Kijana nampongeza sana kwa kutokua muoga na pia kufanya kitendo cha kijasiri na kuonyesha ni kiasi gani anauhitaji wa kile ambacho ninyi mnakibezaUtawekaje picha humu ,c hmfuate pm,ww ni ngosha kwelikweli
...yani wewe ndio bonge la kiazi, eti umeweka poz!😀😀😀
ni kweli ila ata jina lako lina ashiria mengi na ya ukweli"Asiye mbaili anijali" kigezo hicho kimeondoa nia yako ya kutafuta mume labda kama ni mpenzi tu... mume anayekupenda obvious atakujali.. na ukisema asiwe mbaili ina maana umchune tu... mume atakupa na mtashea alivyo navyo hata kama ni bahili ni for the benefit of your family
okey dear usijaliSijui nibadili dini nipate mwenza hapa!! Sema na wewe niny una vigezo vya ki-college bhana! Mara handsome; mara anayejua kuvaa... aaaaaaargh!! Hivyo ni vigezo vya kutafuta dating partner bhana!
Ngoja nisubiri serious networking request nyingine yenye vigezo vya mwanaume mwenye upendo, anayejali familia, mchamungu, n.k...
Dah jiongeze mkuuSasa tukianza kukosoana humu ndani sio fresh wadau mtu kuweka picha imekuwa kero jamani
Chige kama unahisi unafaa basi nichek private then tuongee yetu..samahani kwa vigezo vya kitotoDah! Hiyo "dear" kama nimeisikia hivi jinsi ulivyoitamka! It sounds so beautiful... niny, hebu punguza hizo requirements bhana! Hao ma-handsome wapiga pamba mtaishia kugombania dressing table 2 na kuibiana poda! Hebu weka requirements za kiporipori watu tutume cv zetu!
You are right about it all....pia the fact kua hauko into a rush made me like you even more....upo tofauti gnyt chigeI love this... worry out mamy, nitakucheki PM at the right time! Am good at reading people and I bet you're a good girl but nimegundua tatizo lako la msingi ni moja ... hujui neno gani utumie wapi as a result you sound bit irritating!! I don't care much hizi human errors cuz' kila mmoja ana zake !
Ujana umeumalizia kwa WAUME za watu, panatafutwa pa kwenda kupumzikia/kufia.uzee upi tena