Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Yanaweza kukutokea ya songa
Kwenye nyimbo yake ya picha
 
Ngoja nitunze akiba ya maneno kama nilivyo kuweka spare kulee...... ulipo dondokea kwenye penzi la mume wa mtu.
 
....usije mjini wewe... utachunwa mpk utambae🙄🙄
Nawashangaa mnapo m-beza kijana kwa ujasiri wa kutupia picha hapa jamvini[emoji57], wakati siajabu ninyi mnao ogopa kutupia picha zinu hapa live ndio mnakua wabovu huko MP mkikesha hata kupiga magoti kwa wadada wa humu.
Utawekaje picha humu ,c hmfuate pm,ww ni ngosha kwelikweli
Kijana nampongeza sana kwa kutokua muoga na pia kufanya kitendo cha kijasiri na kuonyesha ni kiasi gani anauhitaji wa kile ambacho ninyi mnakibeza
...yani wewe ndio bonge la kiazi, eti umeweka poz!😀😀😀
 
"Asiye mbaili anijali" kigezo hicho kimeondoa nia yako ya kutafuta mume labda kama ni mpenzi tu... mume anayekupenda obvious atakujali.. na ukisema asiwe mbaili ina maana umchune tu... mume atakupa na mtashea alivyo navyo hata kama ni bahili ni for the benefit of your family
ni kweli ila ata jina lako lina ashiria mengi na ya ukweli
 
Dah!, umezoea waume za watu utawaweza ambao hawajawahi kutembea na wake za watu?. Hao waume za watu ndio size yako kubali wakuoe uwe mke mdogo!, bata ule na wengine alafu uzee umalizie na wengine haiwezekanii!!
uzee upi tena
 
Sijui nibadili dini nipate mwenza hapa!! Sema na wewe niny una vigezo vya ki-college bhana! Mara handsome; mara anayejua kuvaa... aaaaaaargh!! Hivyo ni vigezo vya kutafuta dating partner bhana!

Ngoja nisubiri serious networking request nyingine yenye vigezo vya mwanaume mwenye upendo, anayejali familia, mchamungu, n.k...
okey dear usijali
 
Ukiweka ka photo itatusaidia kukufahamu zaidi maana sifa ulizotaja hazitoshi kukufahamu vzuri japo kwa muonekano wa nje...
 
Dah! Hiyo "dear" kama nimeisikia hivi jinsi ulivyoitamka! It sounds so beautiful... niny, hebu punguza hizo requirements bhana! Hao ma-handsome wapiga pamba mtaishia kugombania dressing table 2 na kuibiana poda! Hebu weka requirements za kiporipori watu tutume cv zetu!
Chige kama unahisi unafaa basi nichek private then tuongee yetu..samahani kwa vigezo vya kitoto
 
I love this... worry out mamy, nitakucheki PM at the right time! Am good at reading people and I bet you're a good girl but nimegundua tatizo lako la msingi ni moja ... hujui neno gani utumie wapi as a result you sound bit irritating!! I don't care much hizi human errors cuz' kila mmoja ana zake !
You are right about it all....pia the fact kua hauko into a rush made me like you even more....upo tofauti gnyt chige
 
Back
Top Bottom