Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Binti huna uvumilivu namna hii si nyumba itakua darasa la mitusi sasa?
Hizi elimu za hiki kipindi ndio maana wakatimuliwa pale Dom
 
Oh Lord! I was falling asleep when I dreamed about this beautiful message... you sound beautiful my angel! And you know what, sooner or later I'll let all people know how lovely you're!
Amen thanx
 
Oh Lord! I was falling asleep when I dreamed about this beautiful message... you sound beautiful my angel! And you know what, sooner or later I'll let all people know how lovely you're!
And i will tell them how wonderful you are my prince...okey u sleep now and dream of how our lives will be...
 
good lucky niny , I believe you will achieve on it so, usijali vile watu wanatupa maneno, focus on what u want ,vilevile jarubu kidogo kutazama hadhira na jambo ulokusudia , ingawa haiba yako ina utofauti ,

with u the best
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Mkuu Ni PM Tafadhali
 
good lucky niny , I believe you will achieve on it so, usijali vile watu wanatupa maneno, focus on what u want ,vilevile jarubu kidogo kutazama hadhira na jambo ulokusudia , ingawa haiba yako ina utofauti ,

with u the best
asante sana
 
Kwa kuwa umeshalikoroga huna hudi kulinywa.Nani alikutuma kwa mume wa mtu.Baki nae si vijana tunamtaka mdada asiejichanganya kama ww
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Lete habali
 
Kupata mchumba itakua Ngumu labda kachumba ka kuingia na kutoka mana post yako tu inasema umechoka kutembea na mume wa mtu hapo ndiyo penye shida hamna kitu kinatuuma wanaume kama kueleza wazi kwamba nilikua nafanya hizo mamba bora ungetudanganya kama alivyoimba shetta na diamond nidaganye danganye.natumai ungesema kuwa wewe ni bikra mpaka ndoa ingekua ushapata lakini mmmmm.. Kula makombo hahaha no.!
 
Tueleze kwanza ilikuwaje ukawa na Mme wa mtu na wakati wajua it's not right.
Pia unataka mwenye PESA au mwenye kazi. Maana hvy ni vitu viwili tofauti.
Plus unadhani una kitu gani ambacho mwanaume atakipata kwako asikipate kwa mwingine.
Je uvumilivu wako uko wapi ikiwa wataka readmade mchumba. Hutaki kutafuta
 
Back
Top Bottom