Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

0cc4da82bc285c142d22c6c74386dcbc.jpg
 
Ukitaka mwanaume mwenye pesa hakikisha na wewe unazo pesa pia.

Ukitaka mwanaume mwenye kazi hakikisha na wewe unayo kazi.

Ukikataka mwanaume mwenye gari hakikisha na wewe unalo gari la kwako.

Si vizuri wala busara majukumu ya wazazi wako waliokuzaa kutaka kumtwisha mtoto wa mwanamke mwenzio.

Mwanamke anayejitambuwa sifa kuu anayohitaji kwa mwanaume awe anajitambuwa, siyo jizi/jambazi na mcha Mungu.

Hizi sifa zingine ni ujasiliamwili tu longolongo huna tofauti na muuza nyapu tu. Hivi mtu mwenye kazi status yake haiwezi kubadilika na jobless na jobless kuwa employed au business winner? Poor IQ.
 
Kupata mchumba itakua Ngumu labda kachumba ka kuingia na kutoka mana post yako tu inasema umechoka kutembea na mume wa mtu hapo ndiyo penye shida hamna kitu kinatuuma wanaume kama kueleza wazi kwamba nilikua nafanya hizo mamba bora ungetudanganya kama alivyoimba shetta na diamond nidaganye danganye.natumai ungesema kuwa wewe ni bikra mpaka ndoa ingekua ushapata lakini mmmmm.. Kula makombo hahaha no.!
sio lazima iwe ww mwaya
 
Hebu dada niny
Naomba unisaidie kitu
Je ktk maelezo yako kuna sehemu labda
Umekiri kuwa ulikuwa na mahusiano na mume wa mtu?

Coz naona wengi wanaongelea hichi kitu!

Sisi binadamu bhana

Mtu akitaka kuuza kitu chake kama
Gari, nyumba n.k

Atatangaza humu nasi tutafanya bei

Mtu akitaka kununua kitu atatangaza humu nasi tutafanya bei

Katika hivyo vyote wala HATUSHANGAI

Ila ajitokeze humu mtu anataka mke au mume

Duh

Kila tusi utaambiwa na maneno mengine ya kejeri, dhihaka n.k

Coz tunaona kama ni kujidhalilisha, kujitangaza au una kasoro Fulani hivi

Hapa ndipo tulipofika but muda si mrefu

Hili nalo tutaliona kuwa ni la kawaida

Mtu akutuma jambo lake la moyoni kama hili

Labda ukalisoma alafu likakukera

Hivi ukikaa kimya bila kukoment au kutoa tusi utapungukiwa na nini?

Kuliko kumharibia mwenzako siku kwa matusi si bora umdharau alafu ukae tu kimya?

Hahahaaha
Hata mimi sishangai naweza kuambulia matusi kisa tu nimeyasema haya
Kuna Uzi kafungua anasema mume wa mtu kamdatisha ndio maana watu wanataka kujua.
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Huyo labda umuumbe ww mwenyew. Mapenz ni hisia hivyo huwez kumlazimisha mtu akupende. Dada yangu maana huko mtaan umekosa mpaka uje huku? Humu ni sawa na kurusha jiwe gizani. Ila pole sana
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC

Jaribu Bongo muvi utapata, maana kuna waigizaji wanaofaa kwenye tamthilia yako.
 
dada hiyo title ya thread yako tu umeshafeli mpaka hapa. Hizo sifa unazozitaka ukingeanza ww kuwa romantic. Ila pole sana. Umeorodhesha sifa nying kwa yule unayemtaka lkn ww ni mshenz wa tabia. Utakaye mpata humu ni mume wa mtu sbb ww una sifa ya mchepuko, haufai kuwa mke
 
una bikra,unahela au kazi ya maana??usije kuwa unatutangazia utuuzie matatizo hapa
 
Back
Top Bottom