Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Vigezo unavyohitaji ninavyo ila shida ni kwenye umri ungeshusha kidogo ungenifaa.iam sorry....huyo jamaa hajui napitia njni alaf ananisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigezo unavyohitaji ninavyo ila shida ni kwenye umri ungeshusha kidogo ungenifaa.iam sorry....huyo jamaa hajui napitia njni alaf ananisema
Ila sisi mahandsome huwa hatutulii na mke/mwanamke mmoja kwasababu huwa tunapata usumbufu sana kutoka kwenu kina dada.Huu ndo ukweli hivyo usije kulalamika mumeo akianza kusumbulia na wanawake wenzio.ULINISOMESHA WEWE?
Vipi huyo kijana jasiri aliyetupia picha hapa umekubaliana naye?Isije ikawa umemkubali halafu watu wanaendelea kujaza server kutongoza mchumba wa mtu.hahahaha
Ww uko wapi na unafanya kazi gani?Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Mrembo, Kiswanglishaaaaaaa au ni Englishaaa?! WHICH IS WHY?Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
Product ya WHICH IS WHY?Noted...hakika lazima nimpeleke mtoto wangu akosome UDSM apate degree awe kama wewe...kumbe UDSM wanatoa product nzuri sana!!
Nouma sana kama UDSM ndo wanatoa product za hivo nawapa pole na nawaomba waende English course!Product ya WHICH IS WHY?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sielewagi kabisa mtu ambae anapiga picha mwenywe ( sio group photo) alaf anachuchumaa... what for sasa??? Uonekane umahiri wako wa kuchuchumaa au
aah! mbona wakandia tenaMungu kashindwa kukujibu had I uje umtafutie huku
hao watoto wa ras-simba bhana, wote wanajidai wamemaliza chuo kwa kuongea ki-swanglish! kwenye kuandika huwa wanachemka sana!ROMATIC=ROMANTIC
[emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] Nimejikuta nacheka tuVigezo vyote unavyotaja vinafaa uwe n Mme wa mtu
Haha hawezi kuwa mke.....?!"Mke" mwenye matusi hivi......hapana....
Kama unataka mfanyakazi ni kwa nini usiolewe na hiyo kazi kabisa kuliko kuendelea kuzura huku mitandaoni.Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Hivi ni kweli una degree au umetudanganya? Kazi ipo.Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
Haya wenye kazi zenu changamkieni fursa hiyo.Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC