Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

dhuu mtaan kwenu hamna mtu amekutongoza au ulikuwa unaringa na degree yako ya maua wamekutongoza umekataa sa hivi unawajutia teh teh by the way me sifanyi kazi bt ninachakuniingizia pesa vp naweza kuja pm
 
Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
which is why =?
it pisses me off=?
i have posted this=?

dada degree yako umechukulia wap kwan?
 
Mapenzi ya kweli yanajengwa na upendo wa dhati sasa unasema asiwe M BAHILI unataka umgeuze msukule wa kukuletea pesa.
 
0cc4da82bc285c142d22c6c74386dcbc.jpg
Mkuu mrembo kama huyu sijui kama atakuelewa hahaahaa
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Utawapata tu wapo wengi tu mbona
 
Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off

Andika kiswahili utaeleweka tu..." which is why" ndo nn?
 
nipo apa nna sifa zote kuja pm tuanzishe
 
Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
I wish to have my own ,that is why
 
U don't deserve to be a wife though you're a woman na hata ukimpata hiyo ndoa haitadumu

Kwa nini........

Personality yako inaonesha we ni mtu wa namna gan...

Kwanza ni mjeuri
Una kiburi
Una misifa (kujifanya unajua kila kitu)
Hauna kauri nzuri

Weka na sifa zako hapo watu wafanye comparison
Una shamba?
Kiwanja je?
Je Una biashara?
Una asset yoyote?

NB; kuwa na degree sio hoja ya msingi kwani kuna hata DEGREE YA KUPAMBA maua vile vile.
 
Huyo labda umuumbe ww mwenyew. Mapenz ni hisia hivyo huwez kumlazimisha mtu akupende. Dada yangu maana huko mtaan umekosa mpaka uje huku? Humu ni sawa na kurusha jiwe gizani. Ila pole sana
HAO WA MTAANI NDIYO SISI MKUU
 
Back
Top Bottom