Said nasrym
Member
- Feb 23, 2019
- 37
- 14
Jamani mi mgeni humu natafuta mchumba Arusha mjini mweupe mnene kias mrefu,awe nakazi au hana its ok mi mwenyew nimejiandaa nipo serious sitanii,umri wangu 33 years elimu dip Nina ksz ya kipato kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia 20 mpk 26 kuanzia angaza ni jambo jema please nichek usiogopeJe utakuwa tayari kwenda kuanzia angaza?
Akillinjema we ni ke au meKuanzia 20 mpk 26 kuanzia angaza ni jambo jema please nichek usiogope
A
Akillinjema we ni ke au me
katoto kazuri hiyo fursa na kuanzia sasa uache kusumbua na uhanga wako wakati wa ovulation. Bado DemissJamani mi mgeni humu natafuta mchumba Arusha mjini mweupe mnene kias mrefu,awe nakazi au hana its ok mi mwenyew nimejiandaa nipo serious sitanii,umri wangu 33 years elimu dip Nina ksz ya kipato kidogo
Nipo serious ndugu Yangu mi mgeni arush sijui nianzie wapi hataLakini Said kwanini uje kutafuta mke huku kwenye mitandao?
Mbona kama haioneshi kama uko siriasi aisee!
Hata km upo far haina noma mradi uwe na nia njema tuKwa hiyo tulio mbali na Arusha tuandike maumivu
Wee unamwaga mchele kwenye kuku? Akina "manka" si ndo wamejaa tena wananusa "shekeli" balaaa! Kama huko vizuri utawapata fasta bila hata kutangazaJamani mi mgeni humu natafuta mchumba Arusha mjini mweupe mnene kias mrefu,awe nakazi au hana its ok mi mwenyew nimejiandaa nipo serious sitanii,umri wangu 33 years elimu dip Nina ksz ya kipato kidogo
Ok ahsante kwa taarifa mkuuWee unamwaga mchele kwenye kuku? Akina "manka" si ndo wamejaa tena wananusa "shekeli" balaaa! Kama huko vizuri utawapata fasta bila hata kutangaza