Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, ninatafuta msichana kuanzia miaka 20-25, ili awe mchumba na Mungu akipenda tuje kujenga familia huko mbeleni.
Wasifu wangu;
Mimi ni mfanyabiashara ndogondogo.
Elimu yangu ni Digrii ya kwanza(Bsc).
Makazi Morogoro.
Dini mkristo Lutheran.
Kabila Mbena.
Situmii kilevi.
Msichana nae muhitaji:
Umri 20-25
Elimu form six and above.
Dini:Awe mkristo au kama muislamu awe tayari kubadili dini.
Kabila[emoji38]ote.
Awe anajipenda na mwenye kuvutia.
Mrefu wastani.
Asiwe mnene sana au mwembamba sana.
Asiwe tegemezi, mbunifu ni advantage kwangu.
Mwenye kujiheshimu.
Asiwe mlevi
Wasifu wangu;
Mimi ni mfanyabiashara ndogondogo.
Elimu yangu ni Digrii ya kwanza(Bsc).
Makazi Morogoro.
Dini mkristo Lutheran.
Kabila Mbena.
Situmii kilevi.
Msichana nae muhitaji:
Umri 20-25
Elimu form six and above.
Dini:Awe mkristo au kama muislamu awe tayari kubadili dini.
Kabila[emoji38]ote.
Awe anajipenda na mwenye kuvutia.
Mrefu wastani.
Asiwe mnene sana au mwembamba sana.
Asiwe tegemezi, mbunifu ni advantage kwangu.
Mwenye kujiheshimu.
Asiwe mlevi