Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Huyu hata PM hapajui., ila pia hiki kilugha anachotupia tupia maneno humu kinaonekana kinamsumbua.
Ushauri wa bure hili jukwaa huwa tunatumia kswahili achana na malugha ya ajabu yaliyoletwa na meli
 
Yaan miaka 24 tu unakuwa desparate na ndoa hivo??Ushaur wangu RELAX mtu sahihi atakuja wakati sahihi chamsingi zidisha SALA mweleze Mola hitaji lako.
 
Mtoa mada amenifurahisha siyo kama wengine nataka miaka kuanzia 30+ wakati umri huo wengi wanakuwa wameoa au wana familia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lakini nisiongee mengi usikuta kasahau kuweka kigezo cha umri
 
naitwa dayana natafuta mchumba baadae awe mume nitamjaIi nakumuhehimu awe mkristo mkatoriki ni namiaka 24aliyetayaIi caII me 0629837251 thank y
Ila tusiombane hela.mpaka nitakapokuoa.si ndio?
 
Diana...kama pm hutaki basi ruhusu tukufwate watssup...bt funguka zaidi
 
Huyu hata PM hapajui., ila pia hiki kilugha anachotupia tupia maneno humu kinaonekana kinamsumbua.
Ushauri wa bure hili jukwaa huwa tunatumia kswahili achana na malugha ya ajabu yaliyoletwa na meli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nacheka kwa sauti
 
Back
Top Bottom