Anzisha Uzi wa kuulizia walipofika wasaka wachumba Maana hawakujibuu pamoja Na jitihada zako.Hongera kwa kujali wenzioUmefika wapi mrejesho mkuu??
Sawa mkuu.Anzisha Uzi wa kuulizia walipofika wasaka wachumba Maana hawakujibuu pamoja Na jitihada zako.Hongera kwa kujali wenzio
Halloo wanajukwaa, hope mko poa,
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 29 na nina maisha ya kawaida nipo Arusha, natafuta mchumba atakaye kuwa mke, vigezo: awe anaishi Arusha, awe na umri kuanzia miaka 25, awe na elimu kuanzia 4 na kuendelea, awe na kazi halali yoyote, asiwe na mtoto, awe mcha Mungu, awe anajitegemea.
Ni hayo kama uko serious ni pm tuyajenge.
Asanteni.