Natafuta Mchumba

Natafuta Mchumba

ABiClever Junior

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
948
Reaction score
548
Awe na umri miaka 35+
mkoa awe anaishi Tanga mpaka akhera
awe na watoto sio chini ya wa5
Kuhonga sijui kusema kweli,
Awe na makalio yasio pungua Tani 6,
Awe na rangi Ya kijani
uzito wake wa mwili ukitoa makalio uwe Kg 62 urefu futi 5 kama unavyo hivyo vigezo njoo Pm .
Sijui natafuta mpenzi kweli Sijawahi kutafuta Kiki ila ndio nimeanza leo.
 
Weye mkuu, si umetoka kupigwa muda si mrefu? Ndiyo umeamua kutafuta kipooza roho?
 
Weee una matako ya tani ngapi?

Unapokuwa unapost kitu tumia ajili.
 
Watakuja wenye matako tan 6 ngoja cc vimbaombao tukae pemben
 
Back
Top Bottom