Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.